stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kadi nyekundu ndio imeharibu kila kitu km umefuatilia mchezo kadi nyekundu imezaa Goli 2 zileTumecheza mpira wa ovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi nyekundu ndio imeharibu kila kitu km umefuatilia mchezo kadi nyekundu imezaa Goli 2 zileTumecheza mpira wa ovyo kabisa
Sasa kachukueni kipa huyo wa maana, afu tutaona hapaa.kipa.hatuna bwana goli la jamaa wa sevilla ni kipo tosha kabisa kuwa kipa wako ni mbovu
kwanini unachanganya Mpira na Siasa ? una ona matokeo yakeFULL TIME = FISIEMU = 0 MOROCCO = 3
Refa kabana Ile kadi nyekundu kuwatengenezea mazingira MoroccoSasa refa kafanyaje jamni
Ile ya 5 unaambiwa za ndaaani gamondi alilala sana makaburini kule temeke 😂🤣🤣😁Kwa timu yenye ubora kama ile 3 kipa kajitahidi sana maana huko ni magoli ya uhakika sio ule ulozi na uchawi wa utopolo siku ile..hahaha...
Huyo kwa leo namtetea ila siku ile ya mechi na Uto alikua anaona matufe sio mpira huu...yani pale palikua pamegeuka kilingeni... 😂 😂 😂Manula alikua golini pale usisahau alipigwa 5
Imeuma chomoaSasa kachukueni kipa huyo wa maana, afu tutaona hapaa.
Maana Manula ashakua zigo la lawama la team.
Wachezaji wanacheza hovyo, lawama anapewa yeye, ningekua mie ningeshakataaa kitambooo.
Una chuki binafsi na manulaa, kwenye ukweli kuweni waziii.Yani nina maumivu makubwa sababu ya mjinga mmoja, apigwe marufuku kudakia timu ya Taifa.
Aendelee kuwadakia waliozoea 5-1.
Si unaona alikua na maji yake ananyunyuzia?? 😀Ile ya 5 unaambiwa za ndaaani gamondi alilala sana makaburini kule temeke 😂🤣🤣😁
Hawa Morocco hawana maisha marefu sana kwenye hii tournamentRefa kabana Ile kadi nyekundu kuwatengenezea mazingira Morocco
Nani anafanya hiyo kazi?Vijana wamepambana kwa uwezo wao wote, Tunakutana na timu zenye wachezaji wengi wanao cheza katika madaraja ya juu uko Ulaya.
Ili tufanikiwe tunaitaji mpango maalum wa kupeleka vijana wengi wakacheze soka nje ya Tanzania hasa Ulaya.
Kwanin aligoma kwenda kujiridhisha VARSasa refa kafanyaje jamni
Kichwa cha mwenda wazimu kinacheza leo, zikipungua sana 3
Penda cha kwenu wewe mkataa kwao ni MtumwaNadhani TZ tungeweka nguvu kwenye mambo mengine. Kwenye mpira wa miguu hatuna vipaji. Zambia wana ligi ya kimaskini ila timu ya Taifa ina wakali kibao wanaokipiga nje ya nchi yao. Clatous Chama huwa haanzi first eleven ila hapa TZ ni mfalme..
Unaangalia wapi hebu nipe linkSasa kachukueni kipa huyo wa maana, afu tutaona hapaa.
Maana Manula ashakua zigo la lawama la team.
Wachezaji wanacheza hovyo, lawama anapewa yeye, ningekua mie ningeshakataaa kitambooo.
Kad imewatoa mchezoni wachezajiKadi nyekundu ndio imeharibu kila kitu km umefuatilia mchezo kadi nyekundu imezaa Goli 2 zile
Makosa ya kujirudia kwa mtu yule yule refa kaona dogo atamvunja mwenzie bora amtoe tuuRefa kabana Ile kadi nyekundu kuwatengenezea mazingira Morocco