FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Huyu kocha sio mzuri sasa nimemuelewa Karia kwanini hakuwatoa players waliokuwa na risks za red cards mapema

Pili pamoja na kuwa Samatta hakuwa ktk kiwango kizuri alitakiwa acheze 99 minutes sababu alikuwa anakabwa na wachezaji wawili.

Huyu aondoke Hafai kabisa
Nikiwa banda umiza jirani zangu walianza lalamika samata atoke, nikawaambia akitoka tunapigwa nyingi, hawakunielewa, baada ya mechi hatukuagana
 
Tayari kila timu imekaaa nafasi yake hapa

Maji na mafuta vishajitenga😀😀😀
 

Attachments

  • Screenshot_20240118_060306_FotMob.jpg
    Screenshot_20240118_060306_FotMob.jpg
    14.8 KB · Views: 3
Maneno hayasaidii chochote miaka itaenda itarudi lakin hakuna kitu tutFanya kama hakuna mabadiliko yatayofanyika.
Watafutwe watoto watakaolelewa zile top cream talent zenyew sio za kutoa pesa, serikali ilee hawa watoto huku wakiwa wanasoma pamoja.
Wapate na mwalimu wa kuwafundisha miaka 10 tu Itakua ni hatari.
Halafu shida hatuna exposure kubwa kama wenzetu,
Shida kila kitu ni siasa na rushwa
Watoto Gani watalelewa huko wakati wanazulumiwa ela na TFF, si Kuna watoto walipewa elfu 20 za nauli
 
Wak
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku

Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo.

Upi utabiri wako wa mechi hiyo?

===========


Timu ya taifa ya #Tanzania ‘TaifaStars’ inatarajiwa kuanza ushiriki wake wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) kwa kukipiga dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kundi F, leo Januari 17, 2024.

Baada ya mechi ya Morocco, Tanzania inayonolewa na Kocha Adel Amrouche inatarajiwa kukutana na Zambia (Januari 21, 2024) kisha dhidi ya DR Congo (Januari 24, 2024).

Jikumbushe historia ya mechi zilizopita baina ya wababe hao wawili; Tanzania 0-2 Morocco (2023), Morocco 2-1 Tanzania (2013), Tanzania 3-1 Morocco (2013), Morocco 3-1 Tanzania (2011), Tanzania 0-1 Morocco (2010).

View attachment 2874722

22' Himidi Mao anaoneshwa kadi ya njano.

Dakika ya 29 Morocco 0 - 0

Dakika ya 30 Morocco wanapata goli la kwanza.

31' Novatus anaoneshwa kadi ya njano.

Dakika ya 33 Morocco 1 -0 Tanzania

Dakika 38 anatoka Tarryn anaingia Msuva.

HT: Morocco 1 - 0 Tanzania

46' Anaingia Morice Abraham anatoka Mudathir

70' Novatus Dismas anaoneshwa kadi ya njano ya pili

77' Gooooooal Ounachi: Tanzania 0 - 2 Morocco

80' Goooal El Nesry: Tanzania 0 - 3 Morocco.

FT: Tanzania 0 - 3 Morocco
Amorouche atupiwe virago huko huko cote de ivore. Samata naye hana jipya, apumzishwe sasa
 
Hili kombe mwaka huu halina mwenyewe naomba Stars mcheze kama mmetumwa na kijiji tunachukua hii ndoo.
Yaani Taifa stars ishinde dhidi ya Timu ambayo ilicheza robo fainali kombe la Dunia na ikaibuka kidedea mbele ya Portugal yenye wachezaji mahiri kama Cr7,Jota,Bruno Fernandes na wenzie wengi ambao wametoka vilabu vya uingereza!

Hivi watz huwa mnawaza kupitia akili za wapi?
Mpira siyo janjajanja..
Tz tunachoweza ni kupiga mdomo tu,mpira bado hatuuwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora stars imeshindwa, zaidi ya ufisadi, hakuna kitu kifanywacho na seikai ya chichiem kitakaa kifanikiwe hadi mwisho wa dunia.
 
Yaani Taifa stars ishinde dhidi ya Timu ambayo ilicheza robo fainali kombe la Dunia na ikaibuka kidedea mbele ya Portugal yenye wachezaji mahiri kama Cr7,Jota,Bruno Fernandes na wenzie wengi ambao wametoka vilabu vya uingereza!

Hivi watz kuwa mnawaza kupitia akili za wapi?
Mpira siyo janjajanja..
Tz tunachoweza ni kupiga mdomo tu,mpira bado hatuuwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaweza Kupiga mdomo na kupiga pesa za umma baaaasi
 
[emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji2][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]Yametimia Sasa Huenda Timu Ikafungwa Mechi Zijazi Magoli Mengi Ikaondolewa Kwa Aibu
Wanacheza tena na nani?
Watolewe tu mapema,taifa lisiendelee kupoteza fedha kwenye vutu vya kijinga.


Naombea mechi zote Taifa Stars ifungwe.

Zambia na DRC wapo moto,Zambia siyo wazuri sana ila Golikipa mzuri
Congo kocha wao kiazi

Hakuna timu yati ya hizi utaweza kufungwa na Taifa Stars.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom