Kila la heri Tanzania.
Kizimkazi hajapiga simu?
Angalau sasa hivi wanaume tutakuwa na nafuu habari za kuua watu na kuwachoma mikaa kisa 40 missed calls itapungua maana siku hizi tunalia hta kwa vtu vdogo maana kila ninakopita nakutana na hii comment ya wanaume kulia sananimelia sana😿😢 tumefungwa tena 2-0
mkuu hii nchi wazalendo tunaumia sanaAngalau sasa hivi wanaume tutakuwa na nafuu habari za kuua watu na kuwachoma mikaa kisa 40 missed calls itapungua maana siku hizi tunalia hta kwa vtu vdogo maana kila ninakopita nakutana na hii comment ya wanaume kulia sana
Acha tu.Sio mchezo.
Kazi tunayo
Hahah na bado muelekeo hauonekanimkuu hii nchi wazalendo tunaumia sana
we acha tu mkuu sijui wanatupeleka wapiHahah na bado muelekeo hauonekani
Hii fainali ni yetu na Morocco 🤣Tukishinda Kundi linazidi kuwa ngumu zaidi