FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
 
Beluzidad wanaleta fujo hap Uwanjani.
Tuliokaa karibu nao tunawaona
Japo niko Upande wao lakini sipendi fujo zao
 
Kikosi killichoanza dhidi ya makolo hakina tofauti na kinachoanza leo
 

Attachments

  • F-LENGTW0AArpe9.jpeg
    380.5 KB · Views: 2
  • GHHHAzOWQAAFgxX.jpeg
    145.3 KB · Views: 2
FT.
Tutasikia.
Bleach zayeyuka Benjamin Mkapa
 
Hata ushoga unapewa sana airtime so kwa huyu mpaka bleach anaweza ona ni ubunifu
 
Inabidi mafundi sanifu wa kuondoa blichi wakae kwa nje mambo yasipoenda sawa, wanawa unbreach mashabiki.

Lakini tunawatakia kila.la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…