NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Naona kocha kamshitukia mamunyeto na Mzize KAANZA na viungo Kama alivyo wahukumu Simba sc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods ni Uto 😂😂Live bagde imekuja mapema sana😂😂😂
Na wewe umewekewa hina za warembo kichwani?Naona kocha kamshitukia mamunyeto na Mzize KAANZA na viungo Kama alivyo wahukumu Simba sc
Kila mtu hapa nchini ni Yanga [emoji41]Mods ni Uto [emoji23][emoji23]
Beluzidad wanaleta fujo hap Uwanjani.
Tuliokaa karibu nao tunawaonaView attachment 2914889
Japo niko Upande wao lakini sipendi fujo zao
Ushahidi wa picha huo hapoBeluzidad wanaleta fujo hap Uwanjani.
Tuliokaa karibu nao tunawaonaView attachment 2914889
Japo niko Upande wao lakini sipendi fujo zao
Mods ni Uto 😂😂
Mods ni Uto 😂😂
Wanakufa Bajaji Beloo
Kikosi sio kibayaKikosi kinachoanza dhidi ya CR Belouizdad
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
View attachment 2914883
Hiyo picha ni ya saa ngapi?Beluzidad wanaleta fujo hap Uwanjani.
Tuliokaa karibu nao tunawaonaView attachment 2914889
Japo niko Upande wao lakini sipendi fujo zao
Hata ushoga unapewa sana airtime so kwa huyu mpaka bleach anaweza ona ni ubunifuHapa nadhani inategemea na tafsiri yako ya ubunifu.
Nimesikikiza interviews za baadhi ya mashabiki wa Yanga ambao ni Smart upstairs wengi hawajaona kupaka bleach kama ni sehemu ya ubunifu.
Sio kila kinachopewa airtime na kuzungumziwa kila mara ni product ya ubunifu.
TutaonaKikosi killichoanza dhidi ya makolo hakina tofauti na kinachoanza leo
Kupaka bleach kuna uhusiano gani na ushoga?Hata ushoga unapewa sana airtime so kwa huyu mpaka bleach anaweza ona ni ubunifu