Kwanini Unassma wameshafuzu wakati bado Mechi ya Mwisho Al Ahly vs Yanga na CR belauzidad na Medeama
Vipi Yanga Akifungwa na Al Ahly halafu Beloizdad akampiga Medeama?
Hakuna la maana hapo ni dusko tuHamasa na ushindi, Simba mna cha kujifunza mkiweka ujuaji pembeni.
Nifah kuna watu wanataka majini huku hali yao mbaya πAisee itabidi iwe hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiMpira hauitaji hasira...unaweza kufa kwa jakamoyo...ni bora uangalie mambo mengine...yani hawa uto ni wa kufuzu direct hivi...aaah nyieee
Hata aje Bayern Munich tunampiga 7.Baada ya Match utasikia aje hata Bayern Munich tunampiga 7
Pacome ni daraja la juu sana anafanya uone Mpira ni rahisi kucheza .Kuanzia Leo nikikuta mtu anamlinganisha pacoume fundi mtu na nusu na kina chama ntampiga vibao
Aisee pacomee anajiamini sana uchezaji wake
Hesabu zako zilikuaje kwani Mr dunduka.Kwa saizi siwezi kusema chochote maana mpaka sasa mahesabu yangu yamekuja ndivyo sivyo.
Pole sana ndugu yangu we twende taratibu mpaka tuwafikie wote kwa ukubwa ule ule. πππππ€£π π niliuhifadhi kwenye black box ni suala la muda Tu kabla ya kuvamia , ila siku ya leo nina MaFile mengi ya kuyafanyia kazi nadhani nitakuwa bize wiki nzima kufanya mashambulizi.
Siamini Mimi leo nimetingwa mpaka kumsahau ndugu Mwasibu mpaka sasa ,rekodi ya risiti za Leo ni nyingi kuwahi kutokea mpaka Popoma yupo kwenye list..
Ndio nyie yaliwadondosha kwa Galaxy na UD Songo mkaumia?Majini sometimes Yanakubeba...halafu yatakuja kukudondosha sehemu mbaya inapouma..!
Leo Utopolo majini Yamewafaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee bhana bhana, tupo tbc hapa kocha wa cr belouizdad anahojiwa hawa waandishi wetu kingereza kimepita mbali kwa kweli[emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha mbwembwee wee mtanii, utafurahishwaaaaa.
π π π π π π π cheka tuu ndugu yangu ndo imeshakua sasa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada unanichekeshaa balaa.
Wewe ungekuwa nayo usingekubali kupigwa 5Kwani nani ambaye hana timu?
πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada unanichekeshaa balaa.