Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
We simchawi!.... sasa kuna mchawi anaependa maendeleo ya mwengine?Sijui kwanini huwa sitamani Uto ashinde
Mchawi hata kufurahi kwa mwengine inamuuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We simchawi!.... sasa kuna mchawi anaependa maendeleo ya mwengine?Sijui kwanini huwa sitamani Uto ashinde
Nawaloga sasaWe simchawi!.... sasa kuna mchawi anaependa maendeleo ya mwengine?
Mchawi hata kufurahi kwa mwengine inamuuma.
Njoo Benjamin mkapa ujifunze namna ya kumfunga muarabu.Nawaloga sasa
Wakwenu ndo ulikua hautembei kabisa Hadi mods wakaunganisha na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi hautembeii kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la kheri chama kubwa sana....Match Day.
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Young Africans SC[emoji739]CR Belouizdad
[emoji414] 24.02.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 1:00 Usiku
Daima Mbele Nyuma mwiko...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umedoda huu, woiiiWakwenu ndo ulikua hautembei kabisa Hadi mods wakaunganisha na mwingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakwenu idoda zaidi bila hisani ya Mods ingekua aibu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umedoda huu, woiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unateseka Sana ndugu kolo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umedoda huu, woiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamna hata amsha amsha, kulikoniii?Wakwenu idoda zaidi bila hisani ya Mods ingekua aibu...
Sisi wananchi bado tupo saluni tunapaka Bleach
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzii umedodaa jomoniii, woiiiiih[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unateseka Sana ndugu kolo
Labda mchezeshe majini yenu wafuga majini wakubwa nyieFT
Young Africans 5 - 1 Belouizdad
Msisahau kupitia na hereni apo karume[emoji16]Wakwenu idoda zaidi bila hisani ya Mods ingekua aibu...
Sisi wananchi bado tupo saluni tunapaka Bleach