Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Piga utopolo hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiwa wapiYanga akishinda navua nguo
Ashinde jamaniYanga akishinda navua nguo
Kama ni kumpiga al hilal tatu nunge napingana na wewe ila lama ni yanga kupigwa tatu buyu nakubaliana naweTunapiga mtu tatu bila
Dubeeee
Kiiiii
Zingeliii
Pacomeeee offside
Huyu ameumiaShedrak Bocca
🔥🔥🔥🔥💪🇹🇿Kila la kheri Dar Young Africans View attachment 3162137
Why baleke?!
Nimeona yupo njee ya uwanja anazurura na Ali kamweWhy baleke?!
Sangoma huwa hatoroki kweli na pesa ila hawakomi?"Tutafungua milango iliyofungwa"
Shensiiiii.
Kauli mbiu tu imekaa kishirikina
Ndio baadaye TFF muanze unafki wenu kushangaa kuona watu wakibebana kupitia dirishani wakati dalili zote zilionekana tangu mapema ila mkaamua kupuuzia.
Maana yake uongozi wa Yanga mpaka sasa una amini Mpumelelo amelogwa.
Kuna uwezekano huyo Mpumelelo leo akaingia na powerbank kwenye pitch.
Kinachokuja kuniacha njia panda ni pale ambapo sehemu kubwa ya maandalizi ya mechi yamefanyika kwa njia za kijadi zaidi.
Lakini inapotokea mechi imeisha wakiwa wamefungwa, unaona lawama zinaenda tena kwa kocha na technical bench lake.
Kwanini lawama isiende kwa Sangoma?
Mimi sio yanga Jane ila naunga mkono hoja yako, pia ukivua ili tujue ,uposti humu ukishindwa upigwe ban , au unaonaje hili?Yanga akishinda navua nguo