Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

kincho niuma sio kufungwa 2 ila matumiz mabaya ya pesa na ndege ya WaTz iliyobeba hizi ng'ombe hadi congo na kurudi tz kisha zikakubali kukamuliwa nje ndani...
tuache usengerema tuache siasa tz hatuna team hatuna coach, tujenge team miujiza na hamasa haiwezekan kwenye team ambayo ni kichwa cha mwendazimu...
 
Samata Hana msaada
 
Wote tunalalamika ila wewe huna hoja kabisa, nisamehe kukuita mbumbumbu wa football
Utopolo utamjua tu!! Huwezi kufanikiwa kuondoa mawazo ya wachezaji wa hizo timu mbili kwenye mchuano kati yao zikiwa zimebaki siku chache hivyo! Hawawezi ku-concetrate kumsikiliza kocha hata kidogo! Walitakiwa kuusogeza mbele kidogo mchezo huo!!
 
Nasikitika tumefungwa japo magoli waliyotufunga ni mazuri sana!! Yule mfungaji wao wa magoli yote itabidi Yanga au Simba wamsajili!!
 
Hemed Morroco amewekwa hapo baada ya zile kero 23 za muungano kutatuliwa na Samia sio kwambao Yuko Taifa stars kwasababu ya uwezo hapana Bali Yuko pale kukamiliaha sheria na taratibu za muungano.
Ujinga mtupu
 
Kocha Hana uwezo wa mbinu , pale alipomtoa muda na mzize aliua presha ya stars kupeleka Mpira mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…