Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.
Waraka 1 wa Yohana 5:8
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Namjibu na huyu aliyé andika!
[emoji116][emoji116]
Paulo amekuingizeni chaka![emoji15][emoji12]

Kama ndivyo huyu Aliyé waagiza Muiamini Biblia Takatifu na asie Amini Amepotelea Mbaliii!
[emoji116][emoji2533][emoji116][emoji2533]
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا آمِنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي نَزَّلَ عَلَىٰ رَسُولِهِ وَالْكِتَابِ الَّذِي أَنزَلَ مِن قَبْلُ ۚ وَمَن يَكْفُرْ بِاللَّهِ وَمَلَائِكَتِهِ وَكُتُبِهِ وَرُسُلِهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَالًا بَعِيدًا

[ AN-NISAAI - 136 ]
Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha kabla yake. Na anaye mkataa Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Akhera, basi huyo amekwisha potelea mbali.
 
Siyo muumini sana wa haya mambo, lakini Kuna padre mmoja alisema, utatu mtakatifu ni sawa na concept ya jua. Jua linatoa light energy, na light energy inatoa heat energy. Kwahiyo light energy na heat energy vimetokana na jua.
Lakini, jua sio light energy Wala heat energy, light energy siyo jua Wala heat energy, etc
 
Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Sio rahisi kujua fundisho la utatu kwa mtu anayeona giza katika mwanga. Bali yule anayeona mwanga katika giza, ni rahisi kujua hilo.

Kwako haingii kabisa akilini kwa kuwa unaona giza katika mwanga.
 
Sio rahisi kujua fundisho la utatu kwa mtu anayeona giza katika mwanga. Bali yule anayeona mwanga katika giza, ni rahisi kujua hilo.

Kwako haingii kabisa akilini kwa kuwa unaona giza katika mwanga.
Nimekuambia hivi.

"Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo."

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Hata huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Sio kila jambo lina mfumo wa kuthibitisha. Hata uhai ulionao huwezi kuthibitisha unaenda wapi baada ya kutoweka mwilini.

Je unawza kusema mtu mfu ni hai kwa kuwa hujathibitisha uhai wake umekwenda wapi?
 
Sio kila jambo lina mfumo wa kuthibitisha. Hata uhai ulionao huwezi kuthibitisha unaenda wapi baada ya kutoweka mwilini.

Je unawza kusema mtu mfu ni hai kwa kuwa hujathibitisha uhai wake umekwenda wapi?
Ni wewe tu hujaelimika. Uhai watu wameuelezea kwa concept za thermodynamics na entropy systems.

Na wewe ukifa uhai utaendelea, watatokea funza na wadudu wengine kutoka atoms zako, everything is recycled.
 
Tatizo linalo kusumbua uwezo mdogo wa kuelewa hayo mambo ya simple logical urguemnt, logical proposition and so and so, yanini?
mimi nilikutaka UTHIBITISHE kama unazo akili wewe ukajibu kuwa HUNA AKILI na ikawa ndio hoja yako ya kumkana Mungu. Na kudai kama angekuwepo ungekua na akili
Kwahiyo ukashindwa kuthibitisha. labada nilikupeleka ktk upeo wa juju sana ukawa ni mzito kuelewa hebu tuone dai lako
Unadai Wanao dai kuwepo kwa MUNGU MWENYE ENZI WATHIBITISHE
dai hilo halitakua na tofauti na dai langu kwako kua NAWE UNITHIBITISHIE KAMA HUNA AKILI ILI NAMI NIKUTHITISHIE KUWEPO WA MUNGU

SIMPLE LOGICAL.
Mtu yeyote kukosa akili ni uthibitisho Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, hakuna mtu yeyote ambaye angekosa akili.

Hujapangua hoja hii.
 
Siyo muumini sana wa haya mambo, lakini Kuna padre mmoja alisema, utatu mtakatifu ni sawa na concept ya jua. Jua linatoa light energy, na light energy inatoa heat energy. Kwahiyo light energy na heat energy vimetokana na jua.
Lakini, jua sio light energy Wala heat energy, light energy siyo jua Wala heat energy, etc
Nipe namba zake
 
Kuleni mlale kesho nayo ni siku,na mauti inakuijieni

Hamna haja ya kubishana ,siku ukifa majibu utayapata juu kwa juu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Paulo kaingiza watu chaka bovu
Kumbe ww ni muislam dirishadogo!
Niwekee asbab nuzul ya suratul Rumi!
Imeshuka wapi?!
Sababu ya kushuka?!
Na Muhammad kafundishale
[emoji101][emoji101]
 
Tatizo linalo kusumbua uwezo mdogo wa kuelewa hayo mambo ya simple logical urguemnt, logical proposition and so and so, yanini?
mimi nilikutaka UTHIBITISHE kama unazo akili wewe ukajibu kuwa HUNA AKILI na ikawa ndio hoja yako ya kumkana Mungu. Na kudai kama angekuwepo ungekua na akili
Kwahiyo ukashindwa kuthibitisha. labada nilikupeleka ktk upeo wa juju sana ukawa ni mzito kuelewa hebu tuone dai lako
Unadai Wanao dai kuwepo kwa MUNGU MWENYE ENZI WATHIBITISHE
dai hilo halitakua na tofauti na dai langu kwako kua NAWE UNITHIBITISHIE KAMA HUNA AKILI ILI NAMI NIKUTHITISHIE KUWEPO WA MUNGU

SIMPLE LOGICAL.
Kwa uandishi huu unataka argument na kiranga?!!!


Mkuu hebu kale Christmas tu, achana na huyu Kiranga atakuvua nguo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom