Furaha Dominic: Askofu Gwajima ndiye kiongozi wa kundi linalomkwamisha Rais Samia

Hivi rais anakwamishwaje? Watu waache ujinga!

Kumkwamisha rais ni kutenda jinsi, haya mengine ni maneno ya kujikomba na kukwepa uwajibikaji tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama sukuma gang ni kundi tiifu kwa mwendazake na linaendelea kumpambania hata sasa iweje mpwa wa mwendazake kujitokeza na kumwita Gwajiboy ndie kiongozi wa kundi tajwa?
Je, huyu mpwa ameshaunga juhudi tayari au ndio anasaka uteuzi?
 
Gwajima hawezi kuondolewa na rais sio mteule wa rais
 
Gwaji boy atamuwashia moto. Naona anatafuta kuchambwa madhabahuni
 
Uje kwetu nikupikie pilau la kondoo kaka. You've nailed it
 
Gwajima hawezi kuondolewa na rais sio mteule wa rais
Atamuwekea kigingi kwenye kura za maoni ndani ya chama ili jina lake lisirudi na endapo ataendelea kumuandama mama, ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa chama, anaweza kumvua uanachama, hivyo kupoteza sifa ya kuwa mbunge.
 
Inaonekana yeye hayumo au yumo kundini kiintelejensia zaidi akisaka habari na kumpenyezea mama.....huenda kwa ahadi ya uteuzi. You never know.
 
Fungu la kukosa huyo
 
Ha ha ha ha swahiba Furaha Dominick AFUNGUKAAAA......🤣🤣

#Siempre JMT🙏
#Gwajima Ni Mnafiki
 
Hivi kwa nini gwajima habebi biblia na badala yake anatumia Ipad
 
Hivi kweli mtu na akulizako umuamini Gwajima?

Alisema na kutuaminisha kuwa yeye anafufua watu lkn siku amekufa ndugu yake hatukumuona anamfufua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…