Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
wakati sasa umefika ateremshe panga lake chini afyekelee mbali wahuni akina Gwajima
Ndio. Ana uwezo wa kutorudisha majina yao kwenye uchaguzi wa 2025 ili wasiweze kupenya na kuwa wabunge.Kwani Samia ana uwezo wa kuwafyeka wabunge?!
Gwajima hawezi kuondolewa na rais sio mteule wa raisFuraha Dominic, ambaye alishinda kura za maoni kuwania ubunge katika jimbo la Kawe lakini akaporwa ushindi, amesema Askofu Gwajima ni kiumbe wa ajabu sana…..ni muongo, tapeli wa kisiasa na hafai katika jamii.
View attachment 2078536
Askofu Gwajima akiwa kanisani kwake, Uzima na Ufufuo, Dar es Salaam
Akiendelea mbele zaidi kwenye mahojiano, mwanasiasa huyo machachari alimtaja Gwajima kuwa ndiye kinara (kiongozi) wa kundi la Sukuma Gang linalopambana kila kukicha kurudisha nyuma juhudi za Rais Samia kuwaletea maendeleo watanzania. Hivyo, amemtahadharisha Rais Samia kuwa makini na kauli mbalimbali ambazo Gwajima amekuwa akizitoa hadharani kupinga juhudi zake za maendeleo ya watanzania, hasa suala la chanjo ya UVIKO-19. Dominic amesema hayo jijini Mwanza wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Star TV. Unaweza kumsikiliza mwenyewe akifunguka hapo chini kama ifuatavyo:
MAONI YANGU
Baada ya Rais Samia kufanikiwa kuwaondoa ‘wahuni’ kwenye nafasi za uwaziri, wakati sasa umefika ateremshe panga lake chini afyekelee mbali wahuni akina Gwajima na genge lake ili kuhakikisha anawaondoa chawa wote kwenye mfumo wa serikali na chama. Hii itamsaidia sana kufikia malengo ya kuwatumikia watanzania na hata kupata kura za kishindo kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.
Nawasilisha.
Haiwezekani hilo. Kwa jinsi alivyo tu kana JK na IGP Wema.... TISS ukiwa contravetial wanakushughulikia. Huoni akina Chahali wako uhamishoni?gwajima ni TISS .niliambiwaga pale kijiweni
Uje kwetu nikupikie pilau la kondoo kaka. You've nailed itHuyo ni mtoto wa dada wa Magufuli, sio mtoto wa Magufuli, naona story zake zimekuwa nyingi sana sijui anatumiwa au anajitumia ili akumbukwe kwenye ulaji wa awamu ya sita.
Kwa haya majibu yake asijekuwa analazimisha kuaminiwa, nitamshangaa sana, vyema aache kila jambo lipite siasa sio kila kitu maishani.
Atamuwekea kigingi kwenye kura za maoni ndani ya chama ili jina lake lisirudi na endapo ataendelea kumuandama mama, ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa chama, anaweza kumvua uanachama, hivyo kupoteza sifa ya kuwa mbunge.Gwajima hawezi kuondolewa na rais sio mteule wa rais
Umewekewa hadi clip unakuja hapa kudenyuka kuwa ni fake news? Are you serious?
Inaonekana yeye hayumo au yumo kundini kiintelejensia zaidi akisaka habari na kumpenyezea mama.....huenda kwa ahadi ya uteuzi. You never know.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama sukuma gang ni kundi tiifu kwa mwendazake na linaendelea kumpambania hata sasa iweje mpwa wa mwendazake kujitokeza na kumwita Gwajiboy ndie kiongozi wa kundi tajwa?
Je, huyu mpwa ameshaunga juhudi tayari au ndio anasaka uteuzi?
Fungu la kukosa huyoKwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham.
Kwa kweli Gwajima amekuwa Muongo kwa siku nyingi sana, amedanganya kufufua watu. Amedanganya kuleta train za umeme n.k. n.k.
Ila kwa jinsi tunavyomjua Gwajima, huyu dogo ajiandae kwa majibu yake Jumapili.
NB. Kuna mambo ambayo Dogo amezungumzia kuhusu Kupe ambayo siyo rahisi kuyazungumza mbele ya wanafamilia. Pia sidhani kama Dogo alikuwa anaishi Magogoni.
Kudenyuka ni kujibinya kama vile mwanamke anavyojibinya kwa utamu wakati wa tendo la ndoa.Msamehe bure, Ila kudenyuka Ni nn Ndugu?
Ha ha ha ha swahiba Furaha Dominick AFUNGUKAAAA......🤣🤣Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham.
Kwa kweli Gwajima amekuwa Muongo kwa siku nyingi sana, amedanganya kufufua watu. Amedanganya kuleta train za umeme n.k. n.k.
Ila kwa jinsi tunavyomjua Gwajima, huyu dogo ajiandae kwa majibu yake Jumapili.
NB. Kuna mambo ambayo Dogo amezungumzia kuhusu Kupe ambayo siyo rahisi kuyazungumza mbele ya wanafamilia. Pia sidhani kama Dogo alikuwa anaishi Magogoni.
Hivi kweli mtu na akulizako umuamini Gwajima?Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham.
Kwa kweli Gwajima amekuwa Muongo kwa siku nyingi sana, amedanganya kufufua watu. Amedanganya kuleta train za umeme n.k. n.k.
Ila kwa jinsi tunavyomjua Gwajima, huyu dogo ajiandae kwa majibu yake Jumapili.
NB. Kuna mambo ambayo Dogo amezungumzia kuhusu Kupe ambayo siyo rahisi kuyazungumza mbele ya wanafamilia. Pia sidhani kama Dogo alikuwa anaishi Magogoni.
Nakuunga mkonoGwajima ni msukule tu kama misukule yake
Hakukosa ubunge bali sema Jiwe hakuamua kumpatia ubungeDuuh kukosa ubunge kunauma sana.