Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mimi mwenyewe nimeshangaa sana kuna watu wanamkasirikia kabisa mtoa mada sijui kwanini njaa huwa inakuja na hasira🤔
Hapo nini cha ajabu? Umeambiwa huyo fundi anauza na vioo vya simu,mfano mtu ana infinix hot8 bei ambayo fundi kajumua kioo ni 14000 mteja analipa elfu50 au 40 hapo anapata yake 35 au 25,anaweza weka vioo simu ngapi Kwa siku kama yupo location nzuri? Bado kuweka system charge utaambiwa elfu5 yeye kale kacharge port kajumua 200 ndio mia mbili,Kwa mafundi simu hiyo hela kama yupo location nzuri ni ya kawaidaComment bora kabisa hii..
Huyu analeta story zake za kishamba. Fundi simu per day laki mbili how serious
🤣🤣🤣Biashara zote nzuri ukihadithiwa.
Aulizie kioo cha Samsung bei ganiH
Hapo nini cha ajabu? Umeambiwa huyo fundi anauza na vioo vya simu,mfano mtu ana infinix hot8 bei ambayo fundi kajumua kioo ni 14000 mteja analipa elfu50 au 40 hapo anapata yake 35 au 25,anaweza weka vioo simu ngapi Kwa siku kama yupo location nzuri? Bado kuweka system charge utaambiwa elfu5 yeye kale kacharge port kajumua 200 ndio mia mbili,Kwa mafundi simu hiyo hela kama yupo location nzuri ni ya kawaida
😀😃😅We jamaa nimekudharau aiseeWewe kwa haya maneno yako ni tapeli.
Tafuta kazi halali fanya..
Tafuta kazi fanya acha story za vijiweni
Wewe unabisha, mm nimepiga hoteli nyota nne. Na hizo nyota tano kwa unguja ndo nyingi na nne. Kuna melia kuna verde hakuna mishahara ya milioni mkuu. Mana kwa kawaida hotelin wafanyakazi wanaingia shift 3 yani masaa ya kazi ni masaa nane. Kulipwa milion tu kwa industry hii tena nchi kavu sio poa.Ulizia vizuri
Inatokana ulikuwa unafanya hotel Gani
Five star hotel hawawezi kumlipa chef laki 4
Nasimama na ya kwanza lakini naunga mkono kwa nguvu ya tano Comment no 2 ya Zabron.Certified Hater dogo mambo mema yasikupite.
Kila mtu afanye kwa nafasi yake
Wewe na yeye mkiugua huwa mnatibiwa na madereva?Wewe ni mpumbafu kweli hiv unajua MC katokisha alikua ni auditor wa kampuni moja tu hivi kubwa nje ya nchi lakini aLizamia u
Yaishe mkuu umeshinda🙌Wewe na yeye mkiugua huwa mnatibiwa na madereva?