Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Acha wayapindue tu kwa sababu hayana akili. Kwenye sanduku la kura yanatuibia na kutupakaza mawino ya bure kwenye vidole. Dawa yao ni hiyo tu.
 
It goes down well. We are tired of having leaders who propagates the gospel of democracy, while thriving in corruption. Africa is changing. One of the days, they will pay for their crimes.
Na wanapoguswa wanaleta taharuki za udini, ukabila, ukanda na mengine mengi!
Mwenye Mungu atawalipa kadri ya mwendo wenu. Hamtawarisisha watoto wenu mali ambazo sio za kwenu.
 
nchi kama Zimbabwe, pamoja na madudu yaliyofichuliwa na Documentary ya gold mafia majuzi tu, still mtu kama Mnangagwa bado anashinda uraisi, how comes🚮🚮🚮🚮
 
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

========

Gabonese President Ali Bongo Ondimba is being detained at home and one of his sons has been arrested for "treason," military officers said Wednesday, hours after announcing they had overthrown the government.

"President Ali Bongo is under house arrest, surrounded by his family and doctors," they said in a statement read out on state TV.

Bongo's son and close adviser Noureddin Bongo Valentin, his chief of staff Ian Ghislain Ngoulou as well as his deputy, two other presidential advisers and the two top officials in the ruling Gabonese Democratic Party (PDG) "have been arrested," a military leader said.

They are accused of treason, embezzlement, corruption and falsifying the president's signature, among other allegations, he said.

Earlier on Wednesday, military officers said they had toppled Bongo, who has been in power for 14 years, hours after he had been declared the victor in Saturday's elections.

In a televised statement, they said the vote results had been cancelled and "all the institutions of the republic" dissolved.

===========

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Naunga mkono hili. Mwaka 2020 Tz yalitokea mambo mabaya sana wakati wa uchaguzi
 
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

========

Gabonese President Ali Bongo Ondimba is being detained at home and one of his sons has been arrested for "treason," military officers said Wednesday, hours after announcing they had overthrown the government.

"President Ali Bongo is under house arrest, surrounded by his family and doctors," they said in a statement read out on state TV.

Bongo's son and close adviser Noureddin Bongo Valentin, his chief of staff Ian Ghislain Ngoulou as well as his deputy, two other presidential advisers and the two top officials in the ruling Gabonese Democratic Party (PDG) "have been arrested," a military leader said.

They are accused of treason, embezzlement, corruption and falsifying the president's signature, among other allegations, he said.

Earlier on Wednesday, military officers said they had toppled Bongo, who has been in power for 14 years, hours after he had been declared the victor in Saturday's elections.

In a televised statement, they said the vote results had been cancelled and "all the institutions of the republic" dissolved.

===========

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Taratibu tutafikiwa tu
 
Afu Cha kushangaza,
Wanaoongoza mapinduzi Ni wanajeshi wa vyeo vya chini[emoji4]
Hii sayansi hii, nadhani ufaransa ndio wanaijua zaidi; makoloni ya muingereza na ujerumani yote yako chali 😀
 
Tume ya uchaguzi ilikuwa tayari imeshamtangaza Ally Bongo kuwa mshindi. Watu wamechoka na demokrasia za mchongo
Watawala wa Afrika wana akili kama za mnyama ngiri anayeweza kusahau mambo muda huo huo yatokeapo!

Kwa misemo ya kiswahili twaweza sema: " wana masikio ya kufa yasiyosikia dawa"!

Ukichunguza akili za ngiri ni kama alishushwa mahususi ili awe chakula cha simba kutokana na upeo wa akili zake.

Kwa sababu ngiri akikikwepa kifo kwa juhudi zake za kumzidi simba kwa mbio, kabla hata hajajihakikishia usalama wake ama kukaa kutafakari tukio lililotaka kugharimu maisha yake, muda huo huo husahau yaliyopita na kuanza kusakura minyoo kwenye udongo(kula)!

Watawala wa Afrika 99% akili zao wote zinafanana na sisi Tz tukiwemo, kuiba kura, kuchezea mifumo ya kuhesabia kura, kuunda tume za uchaguzi za bandia, kuweka wasimamizi wa kura mamluki nk nk!

Na wakishaghushi ushindi, hubweteka na kuanza kula mema ya Taifa na kuwasahau wananchi na umasikini wao!

Angalia kwa mfano hivi sasa, nchi hii ipo kwenye taharuki ya kisiasa, mfumuko wa wazi na wa kutisha wa bei na kupanda kwa gharama za maisha kulikosababishwa na mifumo ya kifisadi, leo Rais yupo kwao akitumbua pesa za walipa kodi na kusherehesha wateule wake kwa gharama za walipa kodi!

Pamoja na kelele zote kupigwa juu ya Baraza bovu la mawaziri kwa tuhuma zao mbali mbali ovu, leo Rais kaexchange portifolio zao bila ya kuwaondoa magarasa!

Ndiyo nikasema kwamba, mapinduzi ya kijeshi ya Gabon pamoja na mataifa mengine ya west Afrika yalikotokea mapinduzi mfululizo ya kijeshi, hayawezi kuwa ni"shamba darasa" kwa viongozi wetu kuweza kushituka na kuanza kufuata mifumo ya utawala bora, maana ni sikio la kufa".

Ndiyo kwanza wanavuta shuka na kushindilia pamba masikioni kana kwamba vurugu zote hizo za kidemokrasia zinazofanyika barani Afrika hivi sasa, kwao ni msamiati mpya na haziwahusu!
 
Magazeti ya dunia yanaripoti kuwa Ufaransa, mshiriki mkubwa wa utawala wa Bongo na babaake, imepinga na kulaani Gabon kupinduliwa.

Hapa ndio mjue Mzungu sio ndugu yenu, sio mwokozi wetu, sio malaika wetu, msibabaishwe na misaada.

Mtu ametawala na baba yake miaka 56, wenye nchi wanasema kawaibia, kawaua, hafai, Mzungu anasema analaani familia hiyo kuondoka madarakani!

Ufaransa, watu ambao wako tayari kufa kutetea haki zao za kiraia, kukashifu dini wanasema ni uhuru wa maoni na wako tayari kufa kumchora katuni Mtume, leo inamtetea dikteta mkandamizaji! Kwa vile ni Mwafrika, anawapasua kende Waafrika wenzie, Ufaransa wanapata chao basi wanaona shauri yao heathen Africans watajiju!
 
Tuombe yasifike Afrika Mashariki
Kwa mujibu wa Katiba ya Afrika Mashariki-Somalia, moja kazi ya wajeda ni kumlinda Katiba, yaani maana yake ni kwamba kulazimisha Katiba ifuatwe Sasa sijajua kama wajeda wasiposikilizwa kanuni zao zinasemaje!
 
Magazeti ya dunia yanaripoti kuwa Ufaransa, mshiriki mkubwa wa utawala wa Bongo na babaake, imepinga na kulaani Gabon kupinduliwa.

Hapa ndio mjue Mzungu sio ndugu yenu, sio mwokozi wetu, sio malaika wetu, msibabaishwe na misaada.

Mtu ametawala na baba yake miaka 56, wenye nchi wanasema kawaibia, kawaua, hafai, Mzungu anasema analaani familia hiyo kuondoka madarakani!

Ufaransa, watu ambao wako tayari kufa kutetea haki zao za kiraia, kukashifu dini wanasema ni uhuru wa maoni na wako tayari kufa kumchora katuni Mtume, leo inamtetea dikteta mkandamizaji! Kwa vile ni Mwafrika, anawapasua kende Waafrika wenzie, Ufaransa wanapata chao basi wanaona shauri yao heathen Africans watajiju!
🤔🤔🤔🤔
Makes sense
 
Back
Top Bottom