Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Una prado gani? Prado zipo zinazokimbia na brevis ya 2Jz pekee ndio yenye cc3000 ntingin ni 2.5Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.
Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Iko vizuri piaMkuu, jaribu na Toyota Mark X (DBA-Grx 120), ni chuma kwelikweli. Kina comfortability ya maana, acceleration ya kufa mtu na stability ya kutisha barabarani. Tofauti na Brevis, Mark X haili mafuta kijini jini na pia ina umbo au sura yenye mvuto.
NB: Maneno yote yenye utata ni kwa lengo la kusifia na sio vinginevyo.
Hiyo gari sio nzuri kwa safari ndefu kwa sababu haiko comfortable ndani compared to Prado,Sijawaambia nauza hii gari siuzi ni nzuri sana kwa safari ndefu
Poa tu habari ya huko ulipo!Mamy mambo
Hapa hatuongelei mauzo na kupitwa hii chuma sio ya kufukuzana nayo natumia mwenyewe siwezi kuiuza
Akili hunaHiyo gari sio nzuri kwa safari ndefu kwa sababu haiko comfortable ndani compared to Prado,
Ulitakiwa ujibu hoja bwasheeAkili huna
Wanaume tuna tabia ya kutaka kusifiwa usafiri tunaotumia.Hana akili huyu,anadhani mbio ndio kujua kuendesha gari!
Ok boss. Nimekuelewa. Huenda ni namna ulivyowasilisha hoja ndo wadau wakaelewa vinginevyo.Mimi sikuongelea mbio watu ndiyo wanakurupuka walio wajinga humu sijui wametoka fb nimesema nimetoka nayo dar mpaka mwanza na hii gari nilinunua mpya kabisa kwahiyo nimetumia muda mrefu lazima niwe nimewahi kukimbiza speed zote maana wakati mwingine unakuwa na haraka ila majinga mengi mengi humu yanapenda kudakia tu na kurefusha mambo
Wewe unadhani wenye brevis tuna gari moja tu na huo mshangazi unaoKumiliki Brevis si kama kumiliki Mshangazi tu?.
Watu wamepoteza viungo, wengine wamekufa na kuacha watoto wanateseka,Kisa mbio barabarani.Kuna kampuni Moja hapa nchini, nikiwa salesman hapo speed kubwa mwisho 80,na walifunga car track system na kila anayeendesha gari, alikuwa na funguo yake ya gari kumsoma Yeye anayeendesha.Gari zenyewe ni brand new kutoka kiwandani!Zingine zinasoma hadi kms240,ole wako mara 3ikusome umeover speed!Maelezo yake uwe nayo ya kutosha.Kwa mfumo huo ajali hazikuwepo kabisa kwenye kampuni hiyo hadi nimeondoka 2013,Narudia mbio kama Ngiri sio udereva Bali ni kukuita Kifo Cha mapema na Uzembe.Mwenye masikio na Asikie maneno haya.Tahadhali Muhimu.Sijui ndiyo ujana maji ya moto, ila ni hatari sana🙄
Kwanini mkuu?Kama sio SUV hiyo ni rubbish
Kupoteza viungo sio mbio kama umepangiwa utagongwa hata kama unatembeaWatu wamepoteza viungo, wengine wamekufa na kuacha watoto wanateseka,Kisa mbio barabarani.Kuna kampuni Moja hapa nchini, nikiwa salesman hapo speed kubwa mwisho 80,na walifunga car track system na kila anayeendesha gari, alikuwa na funguo yake ya gari kumsoma Yeye anayeendesha.Gari zenyewe ni brand new kutoka kiwandani!Zingine zinasoma hadi kms240,ole wako mara 3ikusome umeover speed!Maelezo yake uwe nayo ya kutosha.Kwa mfumo huo ajali hazikuwepo kabisa kwenye kampuni hiyo hadi nimeondoka 2013,Narudia mbio kama Ngiri sio udereva Bali ni kukuita Kifo Cha mapema na Uzembe.Mwenye masikio na Asikie maneno haya.Tahadhali Muhimu.
Hahaha Sio mwaka 1990 exactly ila ni miaka ya 1990..Dr, mwaka 1990 ulikua Chuo tena mwaka wa 4? Shikamoo Dr 🙌.
Btw Ushauri mzuri kwa kijana mwendokasi unaua
Mbio mkuu barabarani sio sifa NJEMA,yakikukuta ya ajali mbaya ndio tutajua!Bora ufe peke Yako kuliko upone utangulize wenzako,kichwa hakitokaa sawa Maishani.Wanaume tuna tabia ya kutaka kusifiwa usafiri tunaotumia.
Mwenye ist atataka asifiwe gari haili mafuta, mwenye brevis/Cresta atataka asifiwe mbio n.k Ni kawaida kwetu wanaume kutaka kusifiwa gari zetu.
Ni tatizo la saikolojia tulilo nalo wanaume kama ambavyo wanawake wanavyotaka kusifiwa mawigi sijui nywele.
Ok sawa kumbe unaweza kuwa bro wangu tu😀Hahaha Sio mwaka 1990 exactly ila ni miaka ya 1990..
Ni miaka ya 90s nakumbuka Ilikuwa 1994 kuelekea 1995 kama sijasahau sana..
Hiyo ni Bahati mbaya,mbio ni ajali ya kujitakia!Kupoteza viungo sio mbio kama umepangiwa utagongwa hata kama unatembea
Upo sawa.Mbio mkuu barabarani sio sifa NJEMA,yakikukuta ya ajali mbaya ndio tutajua!Bora ufe peke Yako kuliko upone utangulize wenzako,kichwa hakitokaa sawa Maishani.