Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Nina uhakika hii comment hatajibu tena umeongea ukweli mchungu
 
Kwahiyo gari ikipitwa watu wasinunue kwenda huko au unataka niitupe ili ufurahie wivu mbaya sana

Gari ni matunzo dogo hata kama ni ya zamani ni matunzo tu ukiitunza vizuri gari na kukarabati kila siku utaiona mpya
Ubaya wa jf unaweza tukananana na baba yako au baba yako ukamwita dogo na usijue jaribu kutumia ustarabu kwenye upande w lugha hata kama hatujuani
 
Wewe ungekuwa na afya ya akili ungenionea wivu wakati hunijui! Lazima nikuchambe tu ili twende sawa na hukulazimishwa kuchangia chochote umejileta tu
Nikuonee wivu kwa brevis!Acha dogo kujiona umepata,sisi wa miaka 1970,Tuiendesha landlover 109,Tuliipa chupa tupu Brevis karatasi la mgororo,nione wivu mi mumeo!
 
Sasa land Rover na brevis ipi imepitwa na kwa nini Land Rover zipo mpaka leo ujinga wenu muwe mnapeleka kijijini kwenu
Bahati mbaya, kijijini Kwetu hatuna washamba kama wewe,sisi huku Mbeya gari kama hili unalojisifia nalo Tunaliacha katumba!Maana ni la kwendea sokoni tuu, wewe unataka Dar_Mwanza ndege huzioni!Unajichosha sana.
 
Speed sio udereva, speed ni ugonjwa, speed ni Kifo Cha kujitakia, speed majeraha ya kukosa akili, speed ni kukwepa majukumu, speed ni ushamba kama ushamba mwingine, speed sio kuonyesha wewe ndio unamiliki gari na barabara.nimelogoff.
 
Speed sio udereva, speed ni ugonjwa, speed ni Kifo Cha kujitakia, speed majeraha ya kukosa akili, speed ni kukwepa majukumu, speed ni ushamba kama ushamba mwingine, speed sio kuonyesha wewe ndio unamiliki gari na barabara.nimelogoff.
Utapata majeraha utakufa hata kama unatembelea baiskeli siku yako ikifika imefika
 
Mna hasira sana lazima mtakuwa wachawi sio kwa wivu huo
Hatuna hasira dogo,tunakuweka sawa na ushamba wako,uwe kwenye mistari ulioonyoka!.Umelata Uzi humu ukidhani utasifiwa na Upumbavu wako,umekutana na Chuma kikoli moto Hii ndio JF members!Sisi tutakupa kwa kadri ya akili zetu Bado wengine wapo kanisani wanakuja na Nondo zilizopakwa Mafuta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…