Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Mwaka 2019jamaa yangu ambae tulikuwa ofisi Moja alikuwa na chuma kama yako (Brevis)alikuwa akiisifia kama unavyofanya hapa..na kweli chuma ilikuwa inatoka na comfortability kama yote...ila sikuacha Kumwambia kuhusu mwendo Kasi wake...
Tarehe 21 /4/2019 tukiwa wote tunatoka Iringa(kazini) yeye akienda Dsm kusalimia familia na Mimi nikienda Arusha kumsalimia familia...kabla ya safar nilimwambia asiendeshe spid kwani tunaenda nyumban Tena kusalimia familia zetu...akanitangulia..Mimi nikiwa na gari yenye speed kubwa kuliko yake (VW golf)lakini sikuzid speed 100.
Tulianza safar jion baada ya kazi...Ile imefika saa mbili usiku..nikasema nimpigie nijui amefika wapi maana alitangulia...sim ikawa inaita tu...Ile nimefika mikumi Nikakutana na ajali..Kwa vile ilikuwa usiku nikasikamama Kwa mbele...halafu sijui nilipitiwa na nini...mda ule nikawa sikumfikiria jamaa(peter)..Ile nimeshuka nakuta mwili umefunikwa majani...nikawauliza jamaa walikuwa eneo la tukio wakaniambia huyu jamaa ameingia nyuma ya Lori...nikiwa pale Nikaona plate number ya gari ikiwa chini..nikaichukua nikaitambua..pale pale akili ikafunguka na kusema ni peter....nikarud kufunia majani yaliyofunika mwili..kweli alikuwa peter..wale jamaa waliponiona nalia ndo wakaniuliza unamfaham!!?..ndo nikasema ni mtumishi mwenzangu Tena ofisi Moja ....the rest was history ..
Kwenye haya magari nimejifunza yafuatayo:
1.gari haikujui kama wewe ndio mmiliki wake....kwamba ipo siku itakuokoa
2.kuendesha speed kubwa Haina maana sana
3. Ndio ...ajali ni ajali lakini tafiki zinaonyesha ajali nyingi ni uzembe WA dereva na pili ubovu wa chombo chenyewe
4.ukishajua thamani yako, na ya wale walio chini yako(familia) ..hauna sababu ya kujisifu Kwa kuendesha gar speed..
5.endesha gari Kwa speed kias kulingana na sheria huku ukichukua tahadhari maana kumbuka si tu kwamba utakuwa ukiendesha gari lako Bali magari matatu(lako,la mbele na la nyuma)
Otherwise brevis ni gari nzuri ..hongera sana Boss.
 
Brevis bonge gari, hata mimi ninayo yangu ya maroon, sifikirii haata kuuza, Namba C ila chuma imetulia. Saaaaaaaana. Ndani na hata barabarani
Mimi yangu siuzi chuma tam sana kwa safari ndefu yaani imetulia sana na huwa nafika mapema wanaozikosoa ni chuki tu ukiwa na uwezo wa kuweka mafuta brevis ni gari nzuri
 
Mwaka 2019jamaa yangu ambae tulikuwa ofisi Moja alikuwa na chuma kama yako (Brevis)alikuwa akiisifia kama unavyofanya hapa..na kweli chuma ilikuwa inatoka na comfortability kama yote...ila sikuacha Kumwambia kuhusu mwendo Kasi wake...
Tarehe 21 /4/2019 tukiwa wote tunatoka Iringa(kazini) yeye akienda Dsm kusalimia familia na Mimi nikienda Arusha kumsalimia familia...kabla ya safar nilimwambia asiendeshe spid kwani tunaenda nyumban Tena kusalimia familia zetu...akanitangulia..Mimi nikiwa na gari yenye speed kubwa kuliko yake (VW golf)lakini sikuzid speed 100.
Tulianza safar jion baada ya kazi...Ile imefika saa mbili usiku..nikasema nimpigie nijui amefika wapi maana alitangulia...sim ikawa inaita tu...Ile nimefika mikumi Nikakutana na ajali..Kwa vile ilikuwa usiku nikasikamama Kwa mbele...halafu sijui nilipitiwa na nini...mda ule nikawa sikumfikiria jamaa(peter)..Ile nimeshuka nakuta mwili umefunikwa majani...nikawauliza jamaa walikuwa eneo la tukio wakaniambia huyu jamaa ameingia nyuma ya Lori...nikiwa pale Nikaona plate number ya gari ikiwa chini..nikaichukua nikaitambua..pale pale akili ikafunguka na kusema ni peter....nikarud kufunia majani yaliyofunika mwili..kweli alikuwa peter..wale jamaa waliponiona nalia ndo wakaniuliza unamfaham!!?..ndo nikasema ni mtumishi mwenzangu Tena ofisi Moja ....the rest was history ..
Kwenye haya magari nimejifunza yafuatayo:
1.gari haikujui kama wewe ndio mmiliki wake....kwamba ipo siku itakuokoa
2.kuendesha speed kubwa Haina maana sana
3. Ndio ...ajali ni ajali lakini tafiki zinaonyesha ajali nyingi ni uzembe WA dereva na pili ubovu wa chombo chenyewe
4.ukishajua thamani yako, na ya wale walio chini yako(familia) ..hauna sababu ya kujisifu Kwa kuendesha gar speed..
5.endesha gari Kwa speed kias kulingana na sheria huku ukichukua tahadhari maana kumbuka si tu kwamba utakuwa ukiendesha gari lako Bali magari matatu(lako,la mbele na la nyuma)
Otherwise brevis ni gari nzuri ..hongera sana Boss.
Umemaliza kila kitu,nahamia mada nyingine,aache ushamba!
 
Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.

Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.

W Boss

Member
Joined Yesterday at 5:22 PM
 
Nina gari Brevis Cc 3000 hii chuma nikitangulia usinifuate aisee, gari inakimbia sana na imetulia kabisa safari ndefu huwa nakimbiza huku nacheka tu jana nimetoka Dar asubuhi mpaka Mwanza gari imetulia kabisa ukiwa speed 150 unaona kama iko speed 50.

Nina prado ila prado huwa naliacha nasafiri na brevis inakimbia sana na inachanganya haraka.
Speed Kills
Over.
 
Back
Top Bottom