Geita: Afariki dunia baada ya kuchomwa kisu mara 17

1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17

Huyu kweli kazidisha
 
Wanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli
Unazungumzi nini hapo mkuu?

Sababu alipiga story na shetani ndio unamuweka kwenye kundi la mashetani?

Na pia unazungumzia those two forbidden fruits yaliyopatikana katika 'mti wa uzima' na 'mti wa kujua mema na mabaya' au unazungumzia matunda gani mkuu?

Majibu yako mkuu
 
Watu waje wajifunze kwetu Kagera mkoa wa watu civilised. Kagera mambo yanakua solved kisomi ati πŸ˜„
 
Hi sensa ilifeli wapi kuuliza Tunatumiaje Visu ?
Ukitendwa huwa unawaza nn ?
#HISIA
 
Ndoa za mikataba ni wakati wake sasa
 
Usidhamdharau mtu ametafuta pesa kwa taabu ili afurahie maisha wewe unamletea u mama j.
 
Elimu ya mahusiano inahitajika kwenye jamii ili kukomesha/kupunguza huu ukatili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…