The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Jibu hoja ,sheria imezuia mtu mkubwa au mdogo kujenga hotel huko Ngorongoro? Au ni ujinga na wivu unawasumbua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja ,sheria imezuia mtu mkubwa au mdogo kujenga hotel huko Ngorongoro? Au ni ujinga na wivu unawasumbua?
Kutokumtaja ni dalili fulani hivi za kutengeneza mazingira ya kuomba rushwa. Kama yupo "clean" huyo mtoa tuhuma aje 'front' kuwataja anaowatuhumu.Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Huyo kweli alikuwa na sifa Zote, mfano ni wafuasi wake.sabaya &makonda.Safi kabisa!
Mpaka akili ziwakae sawa,
Maana yule mwingine tulimwita dikteta, dhalimu, muuaji!
Sasa tunapumua!
Hii issue inaenda kuwa kubwa sana huko mbeleni unless wanaachana na huo mpango wao.
Taratibu kijana! Tujenge hoja zaidi ya hasira na chuki.Ninaomba mungu Maza auze hadi butiama Ili aliyeuleta muungano kaburi lake liuzwe Pia
Kuna vitu vimeonekana hapo kwa hyo hotel inaenda kuvifunika tunaibiwa sisi mpaka tuseme pooRiziwani Kikwete, Naibu Waziri wa ardhi Nyumba na makazi
Kibibi cha kiarabu mwaka tu tayari kinagawa urithi wetu Ngorongoro kwa ndugu zake warabu wa kwao Oman.. LAANAKUM Hangaya.Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspace muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Akili yako haina akiliJibu hoja ,sheria imezuia mtu mkubwa au mdogo kujenga hotel huko Ngorongoro? Au ni ujinga na wivu unawasumbua?
Akili zako hazina akili.Jambo moja Katika hii nchi kila mtu anasema lake hata hao Wapinzani husema mengi ya uongo...Wakati mmoja walisema Mlinzi wa Magufuli kafa kumbe sio kweli....
Cha msingi kila mtu ananyandua anachoweza basi
🚮🚮Akili yako haina akili
we taja muhusika usitaje anayem'bebaMbona anajulikana, alafu anashirikiana na albwardy.
kwani umekatazwa kujenga.. tunapinga wananchi kufurushwa kwenye ardhi yao na kuleta hao mabazazi wenuJe sheria imezuia kujenga hotel Ngorongoro? Kwani hakuna hotel? Vipi angetaka kujenga mtu mdogo ingekuwa nongwa?
Acheni upumbavu usio na faida nyie machadomo.
Sisi tunawaza apewe kumi tena nyie mnawaza muhula mmoja. Mtasubiri sana! 🤣Naanza kuamini atakuwa wa muhula mmoja tu
Wewe ni kichaa.kwani umekatazwa kujenga.. tunapinga wananchi kufurushwa kwenye ardhi yao na kuleta hao mabazazi wenu