DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
AiseeAliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
Jamaa wameanza kumpopoa HukoAisee
sasa Lema na Makonda wanoneanaje wivu mkuuWivu
Mfungwa mtarajiwa tena? Sio kwamba katoka kifungoni?Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
HUYU LEMA NAYE HANA ISSUE SIKU HIZI AENDE TU AKAENDELEE KULEA MUME WAKE HUKO ALIKOKIMBILIA AKIJIFANYA ETI MKIMBIZIAliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
Watu wanamtafutia makosa Mengi ili akiensa kule ale mvua za kutosha wenzake hajui wanakamilisha Uchunguzi waoMfungwa mtarajiwa tena? Sio kwamba katoka kifungoni?
Eeh si umesikia kwamba anafanyiwa massage hadharaniKwahiyo kama makonda ni laini kama maini kwahiyo maini yake yatakuwa magumu au maji?
Hivi viumbe ni vya kipekeee ety
Kwa mahakama ipi?Watu wanamtafutia makosa Mengi ili akiensa kule ale mvua za kutosha wenzake hajui wanakamilisha Uchunguzi wao
Sauna ni Sehemu Maalum au vyumba maalum Watu huenda kukaa na kurelax kuna joto ili kusaidia ngozi kutoa jasho kwa ajili ya afya ya ngozi na mwili kwa ujumla..Sauna ni wapi
Hii hii Ya kwetu mkuuKwa mahakama ipi?
Wasubiri sanaHii hii Ya kwetu mkuu