Godbless Lema: Makonda tulia wewe ni mtoto laini sana kuliko hata maini

Godbless Lema: Makonda tulia wewe ni mtoto laini sana kuliko hata maini

Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..

Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..

Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC

Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"


View attachment 2796403
CHADEMA wanaendesha gutter politics badala ya kufanya tathimini ya kina ya utekelezaji wa ilani ya CCM ili wakawanyooshe uchaguzi wa serikali za mitaa,wao wanabaki kujadili upuuzi.
Kama Makonda ni mtu laini mbona alipokuwa RC Dar walikuwa wanalialia![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Yeye Lema aliacha kazi ya uwizi wa Magari ya watu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane

Do you have evidences or solid proofs to back up all these?. I don’t know why most of people get shocked with this kinda revival of this man. This is the right season for Paul, and he’s going to keep it real 100%..Y’all stay turned psychologically, The system is going to be stressed. He is a confident man with no cowardice. It’s like a boomerang now he’s back with full skills and maneuvers to build CCM that was in pieces. Time heals more.
 
Do you have evidences or solid proofs to back up all these?. I don’t know why most of people get shocked with this kinda revival of this man. This is the right season for Paul, and he’s going to keep it real 100%..Y’all stay turned psychologically, The system is going to be stressed. He is a confident man with no cowardice. It’s like a boomerang now he’s back with full skills and maneuvers to build CCM that was in pieces. Time heals more.
Kwa 95% sure Huyu aliyetype hapa Ni makonda mwenyewe....
Mheshimiwa mwenezi Habari yako Uko salama mkuu
 
Kwa 95% sure Huyu aliyetype hapa Ni makonda mwenyewe....
Mheshimiwa mwenezi Habari yako Uko salama mkuu

This may sound scrumptious but you just wait to see how the opposition and sub groups (in CCM) are going to be demolished utterly. May God take the lead.
 
This may sound scrumptious but you just wait to see how the opposition and sub groups (in CCM) are going to be demolished utterly. May God take the lead.
Sawa sawa Mheshimiwa May God bless you!
In this Mission 🙏🙏
 
Do you have evidences or solid proofs to back up all these?. I don’t know why most of people get shocked with this kinda revival of this man. This is the right season for Paul, and he’s going to keep it real 100%..Y’all stay turned psychologically, The system is going to be stressed. He is a confident man with no cowardice. It’s like a boomerang now he’s back with full skills and maneuvers to build CCM that was in pieces. Time heals more.
Evidence is rampant beyond reasonable doubt. Stay tuned, it is just a matter of time. It might be tomorrow, next year or 2030 as long as this murderer is alive, he will definitely not escape jail term.
 
Evidence is rampant beyond reasonable doubt. Stay tuned, it is just a matter of time. It might be tomorrow, next year or 2030 as long as this murderer is alive, he will definitely not escape jail term.

Not that simple. People do not have concrete evidences that are directly related to these atrocities, hear-says and rumors have no room and if you’re waiting to see Makonda is sued or jailed I assure you this will never happen, By the way He’s not a sadist and he’s not there to owe the suffering or inflict pain but bring back to a line what was trying to off path. He’s a ball of energy ‘cause he knows how to rock the show.
 
Back
Top Bottom