Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mheshimiwa kwa Sababu ni kiongozi wa Upinzani na kingine ni mheshimiwa kwa sababu aliwahi kuwa mbunge Wa arusha kwa takribani 10 yearsTitle ya mheshimiwa Kwa Lema haipo teana bwashee
Lema tulia tu. Magambo anakushinda sasa una bwabwaja. Mpleleke huko Coco beach kimyakimya tuAliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
Ni stendi ya mabasi yanayo kuja huku kijijini mpigamiti...😊Sauna ni wapi
Wahuni wawili wauaji na dhuluma katika idara tofauti medani moja ya ujambazi wanapotambulishana vyeo vyao!Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
lakini lema alikuaga mpiga ngeta wa malori,Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403
🤣🤣🤣🤣Ni stendi ya mabasi yanayo kuja huku kijijini mpigamiti...😊
Kweli kabisalakini lema alikuaga mpiga ngeta wa malori,
hiyo tabia ametubu na ameacha na sasa amekua kiumbe kipya, mtu mzuri mtoa taarifa makini.
kwa hili tunashukuru Mungu na kwakweli tumefurahi sana.
sasa yeye alibadilika kutoka kua muovu hadi kua nabii mtoa taarifa,
kwa neema na Baraka za Mungu, makonda pia atabadilika na atakua kiumbe kipya, mtu mwema na pengine akawa nabii mtoa taarifa kama lema.
Asant...
Wote wahuni tuWahuni wawili wauaji na dhuluma katika idara tofauti medani moja ya ujambazi wanapotambulishana vyeo vyao!
Wakikujib ni tag..Sauna ni wapi
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:Unabii wa Lema unaashiria ya kuwa Bashite ni "mfungwa mtarajiwa"
Wahuni tu tofauti ni location walizokua wakifanyia movie zao!Wote wahuni tu
Nimeshajibu au nitume mpaka pictureWakikujib ni tag..
Sawa mkuuNimeshajibu au nitume mpaka picture
Sawa mkuu
Nabii kazini !Aliyekuwa Mbunge Wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema Amemtoa kauli hiyo kwa Katibu mkuu wa itikadi na Uenezi CCM taifa Mh Paulo Makonda huko Jamhuri ya watu wa X..
Baada ya kudai kwamba ataenda bungeni kuomba na kuuliza kuhusu aina ya uenezi wanayotka awe nayo..
Lema Ameendelea kusema kuwa Makonda anamtukio Ya uhuni na ukatili Tangu alipomfanyia unyanyasaji Mzee waryoba na hata matendo mabaya mengi aliyoyafanya akiwa RC
Lema Amesema kuwa Makonda ni mlaini sana kuliko hata maini na anaweza kufanyiwa Massage Hadharani Bure Coco beach na akamalizia "Easy yani na sauna ukapelekwa!"
View attachment 2796403