Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sure,Straight to the trap...
Wamepewa agenda wanaifanyia kazi
Haha Huyu Makonda siku si nyingi Jela inamuitaNabii kazini !
Kumbe ww ni shahid nenda mahakamaniDaud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Tutakapoupata urawala wa haki, lazima Makonda afikishwe mahakamani, na akisamehewa sana ni kifungo cha maisha.Mfungwa mtarajiwa tena? Sio kwamba katoka kifungoni?
Kuna mshamba kama huyo nyamitako wenuLema ni mshamba na muhuni wa kizamani hana jipya.
Wewe naye mporipori tu kama Lema.Kuna mshamba kama huyo nyamitako wenu
Wewe nawe bwabwa tu watu wanajipakulia tuWewe naye mporipori tu kama Lema.
Wewe nawe mjanja tu watu wanakufahamu tu.Lema si ni shoga 100% na mume wake yupo Canada
Lugha ya mswahili akikosa hojasasa Lema na Makonda wanoneanaje wivu mkuu
HAPO saw maana mimi nilitka kujua How Makonda kupata usemaji (Maana uenezi ni usemaji) wa chama kitu hicho kiwe ni wivu wa mtu wa chama kingineLugha ya mswahili akikosa hoja
Jimama kwemaWamesahau issues zote za msingi, e.g DP World.. wamerukia Makonda. Hawa wana cheap politics, hata si wa kuwategemea kwa chochote. Kwanza mambo yakiwa magumu wanakimbia nchi!!
Upo sahihi, wametolewa mchezoni tayari hao. Hawaongelei tena suala la bandari.Straight to the trap...
Wamepewa agenda wanaifanyia kazi