Pamoja sanaInaweza kutokea yale ya Daud Kumpiga Goriath.
Pamoja na Ushabiki wangu kwa Simba Sports Club lakini siachi kuwaombea Mema Dar es Salaam Young Africa, maana ndiyo timu ya Bibi yenu.
Kila la kheri kwa Timu kubwa za Kariakoo, maana hakuna timu zaidi ya kutoka Afrika Mashariki zaidi ya hizi kwenye hatua hii.
Nguvu Moja 💪
Kufungwa na Ihefu,sio kufungwa na al ahly ,bulouuizad wala Mediama,Ihefu itabaki kubwa Ihefu na kamwe haiwezi kuwa nyingine 🤸🤸View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Mimi ni nani hadi nibishe. Nakazia…View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Al Ahyl katuondolea upepo wa Ihefu,ahaaaaaaKufungwa na Ihefu,sio kufungwa na al ahly ,bulouuizad wala Mediama,Ihefu itabaki kubwa Ihefu na kamwe haiwezi kuwa nyingine 🤸🤸
Naitunza hii risitiMimi ni nani hadi nibishe. Nakazia…
Nani hao🤔Kolo thiooo😂😂Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu[emoji23]View attachment 2773717
Sent using Jamii Forums mobile app
👏👏👏Pamoja sana
Jifariji baba ukipigwa chini ya goli 4 na Al Ahly basi Yanga mtabeba kikombe.View attachment 2773762haya ni matokeo ya Yanga vs usm alger miezi 4 iliyopita tena kwao na fataki juu plus ucheleweshaji mpira kwa ball boys na wachezaji usm kujiangusha
👇 hapa chini ni matokeo ya usm alger vs al ahly mwezi m1 uliopita
View attachment 2773764
Ila ukumbuke tu kwamba Waarabu ni Mali ya Yanga.View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Naitunza hii risitiJifariji baba ukipigwa chini ya goli 4 na Al Ahly basi Yanga mtabeba kikombe.
Aahaaaa,anajitoa ufahamuIla ukumbuke tu kwamba Waarabu ni Mali ya Yanga.
Jifariji baba ukipigwa chini ya goli 4 na Al Ahly basi Yanga mtabeba kikombe.
100%✅View attachment 2773801
Head to head mechi za karibuni Yanga na al ahly,kolo endelea kukariri
Hawakawii kuja kusema Libya kuna vita, Misri ipo karibu na Libya na Sudan zenye Vita na Ghana ina wasiwasi na mapinduzi sababu nchi za Africa ya Magharibi zinapinduana pinduanaAahaaaa,anajitoa ufahamu
Ahaaaaa,wanyooshe maelezo mapemaHawakawii kuja kusema Libya kuna vita, Misri ipo karibu na Libya na Sudan zenye Vita na Ghana ina wasiwasi na mapinduzi sababu nchi za Africa ya Magharibi zinapinduana pinduana
duh yaani hizo akili zako ni mbovu hivyo?View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Kwa jinsi alivyonyanyaswa juzi na Ihefu sidhani kama Yanga itapata hata sare kwenye group stageHalogi na atafanya maajabu utabaki kimya