Group D Yanga ndio kibonde kuliko wote, Hatoboi

Pamoja sana
 
View attachment 2773711

Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .

Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu

View attachment 2773705
Kufungwa na Ihefu,sio kufungwa na al ahly ,bulouuizad wala Mediama,Ihefu itabaki kubwa Ihefu na kamwe haiwezi kuwa nyingine 🤸🤸
 
Hawakawii kuja kusema Libya kuna vita, Misri ipo karibu na Libya na Sudan zenye Vita na Ghana ina wasiwasi na mapinduzi sababu nchi za Africa ya Magharibi zinapinduana pinduana
Ahaaaaa,wanyooshe maelezo mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…