shichandao
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 274
- 418
Kweli ana pepo la ngono.Hili ni pepo na limemuathiri vibaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ana pepo la ngono.Hili ni pepo na limemuathiri vibaya sana
Mke wako anapata visafari safari kazin kwake kila mara na ww unachekelea tu anapata favor kibao na ww upo kama zoba hawanaga akili hawa hata robo
Fact, na hapa ndipo akili za mwanamke zinaposhangaza
Ni pm namba yako ya Telegram nikupe linkTupe koneksheni hiyo, nishaclear space kwenye simu nimeandaa GB 8 hapa.....
Nilijokifunza kwa mwamba kuomba mzigo kwa mwanamke ni uoga wako.
Yaani kwa ujasiri wa mwamba 80% yetu wanaume ni madomo zege
Hao ni binadamu tu kama wengine mkuu, kazi yao haihusiani na kugegedana.Dah,ukakamavu wote kwisha,si karate si bunduki wala kuzijua sumu na miyonzi
Inasikitisha sana
Well said factA man with a thousand girls is a hero, a girl with a thousand boys is zero.
🤣🤣🤣 Wanawake mwaga hela tuu utawala vilivyo. Hamna mwanmke mgumu mbele ya helaJamaa kwao ni mboga Saba so ni simple wanawake kuwala , Umesahau gigs aliwahi kumla mke wa mdogo wake
Kapigia kwenye ofisi za umma.Uafumfunga kwa kosa gani? Mpaka sasa hakuna kosa unless wale waliopigwa pumbu wakafungue mashtka kuwa walibakwa
Jamaa anakula mema ya dunia 😆😆Nini?!..tushirikishane jamani!!
Kongole kwake huyu mjuba
Very very trueJamaa anajua sana kucheza na dating cheat codes za kuwanasa wanawake, art attraction na female pyschology ukishaweza kuivunja female ego hata Kamala Harris unapita naye
Atapoteza kazi tuBalthazar anaweza poteza maisha alichofanya ni jambo la hatare