Habari Njema; Nimeidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Kutoa Elimu ya Fedha


Ni muhimu kutoka elimu hiyo,ingawa ni ngumu kwa tulio wengine kutakeleza hayo.Nitajitahidi.
 
Tupe somo namna ya kujenga kipato kwa kutumia Bond za Benk kuu, naamini zile ni hela rahisi kwa mwekezaji anayeanza
 
Tupe somo namna ya kujenga kipato kwa kutumia Bond za Benk kuu, naamini zile ni hela rahisi kwa mwekezaji anayeanza
Sio hela rahis kama unavyozan...kule ukiwekeza pakubwa zaid faida utaiona tu nzuri..lakin mzigo wa kutosha...mbona zipo taasisi nyingi tu unaweza invest mdogo mdogo na ukatoboa..mfano crdb mwaka huu dividends imekuwa Tsh 50..kias fulan imeongezeka na hisa zake sio gharama...Nmb kule hisa moja haizid 5,000 na gawio linapanda waza longrun target hutajuta
 
bond za BOT zinalipa mpaka 15% for 25 years, nafikiri ni easy money kwa kiasi fulani
 
Haya kwa mfano pale minimum ni 1,000,000 na addition ya 100,000 as par face au value na pale bonds zinakuwa matuared kwa vipindi 6..,kwa miaka 2, 5,7, 10, 15 na 20...fanya calculation kwa investment ya one milion kwa miaka 15 mpaka 20 na percent ya 15..
 
Hakuna namna hiyo idea yako inaweza fanya kazi katika ulimwengu halisiwa nje ya makaratasi
 
Jambo zuri sana. Elimu ya masuala ya uchumi binafsi inapaswa kutolewa sana. Hasa mashuleni. Sisi(App ya Maktaba Sauti) huwa tunafasiri vitabu. Watu wanatuuliziaga sana vitabu vya Dr. Amani.

Moja ya kitabu chetu kinachopendwa sana ni Tajiri wa Babeli(The Richest Man in Babylon). Hiki kinafaa sana juu ya elimu ya uchumi binafsi.

Tajiri wa Babeli-Tiba saba dhidi ya pochi tupu.
Your browser is not able to play this audio.
 
We akaunti yako ina kiasi gani hadi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…