Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

Andika vizuri basi wewe kilaza mfia dini
Sawa mfia kitimoto, nimesharekebisha, ukikuta kosa usisite kunambia, narekebisha.

Umeshawahi kuisoma Qur'an japo kidogo?
 
Mb
Sawa mfia kitimoto, nimesharekebisha, ukikuta kosa usisite kunambia, narekebisha.

Umeshawahi kuisoma Qur'an japo kidogo?
Mbona huendi kuswali au upo kwenye siku zako! Au lile fistula lako bado halijapona! Nenda Dar Group Hospitali kuna wataalamu Fala wewe
 
Mb

Mbona huendi kuswali au upo kwenye siku zako! Au lile fistula lako bado halijapona! Nenda Dar Group Hospitali kuna wataalamu Fala wewe
Audhu bi Llahi min dhalika, .

Punguani wahed.
 
Sisi vijana wa Tanganyika kwa pamoja tunasema, hizi ajira hatuzitaki wapelekeeni vijana wa Zenji maana wao watafaa zaidi.
 
Eti kinajidai kinajua dini pimbi kabisa Huna lolote na hujui chochote jike shupa wewe fala
Kuhusu dini mimi ni mwanafunzi daima. Usiwe na shaka.

Umeziona fursa za "mama" yake DP World? Anayeitwa Dubai World?

Kama bado sema "su" nizimwage hapa.

Mama Samia katuletea Dubai hapa hapa.

Mama Samia anaupiga Kimataifa.
 
Faiza...

Huo Mkataba wa DP WORLD utatekelezwa in Tanganyika?

Mnajenga Nchi? ama mnajenga Taifa?

-Kaveli-
 
Faiza...

Huo Mkataba wa DP WORLD utatekelezwa in Tanganyika?

Mnajenga Nchi? ama mnajenga Taifa?

-Kaveli-
Utapohitajika utafika, hauna mbambamba.


Mama Samia anaupiga Kimataifa.
 
Hiyo DP itakua extension ya msikiti maana unaisifia sana.
 
Hizi bado ni simulizi za alinacha,hakuna data,ni hearsay TU,na porojo kama za mwamposa,sijaona data,,ni masimulizi kama ya mabeki tatu wakikutana kisimani kuchota maji,
Unataka data zipi tukupatie, dunia siku hizi kiganjani.

DP World wanaendesha shughuli zao kwenye zaidi ya bandari 60 duniani.

Hii bandari ya kwa watawala wetu waliotuwachia madaraka👇🏾


Port | DP World London Gateway👆🏾

Bofya chini hapo usome zaidi kuhusu huduma wanazowapa waliokuwa watawala wetu👇🏾 zikifika kwetu hapa itapendeza sana👇🏾


In Shaa Allah zifike haraka sana.

Mama anaupiga Kimataifa.
 
Wakafanye kwao Zanzibar sisi hatuwataki

SSH angeanza kwanza na kwao Zanzibar ambako mara nyingi watawala wa huko wamewahi kujitapa kutaka kuwa kama Dubai. Na sasa wana uchumi wa bluu unaotegemea bahari na bandari pia ziko nyingi.

Sisi Tanganyika tutajifunza na kufaidika na uzoefu wao ikiwa kweli watakuwa kama Dubai. Aidha, sisi tuna uchumi wa kijani unaotegemea ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ufugaji na inatema madini.
 

Pumbaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…