Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Itakuwa bora, mmoja afe mamilioni waishi.
Kama target ni Kagame, ni very wrong target na hahusiki, propaganda machines za wakabila wa Congo and probably France zimewaharibu akili kabisa , vita itaisha kama Banyamurenge haki zao za kiraia zitakuwa secured pamoja na usalama wao, lakini tatizo kuna makundi mengine karibu 100 yanapigana Congo, na solution ya Uber driver na wenzake singizia Kagame and everything solved
 

Tatizo kubwa zaidi lililopo DRC ni kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana kupita kiasi na Utawala huo kwa kiasi kikubwa umekosa uungwaji mkono kutoka kwa umma/Wananchi walio wengi zaidi.

Kwa Vita vya Mwaka 1997-1998 huko DRC (Zaire), Viongozi wa SADC walifanya vyema kutokutuma Majeshi yao kwenda vitani huko Zaire kwa sababu Dikteta Mobutu Sese Seko alikuwa haungwi mkono kabisa na Wananchi wake wengi zaidi wa nchi hiyo. Hata Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya Zaire walikuwa hawampendi Rais Mobutu Sese Seko.
But all in all, Dikteta Mobutu Sese Seko ana mchango mkubwa sana wa kuwepo kwa machafuko na Vita visivyoisha ndani ya nchi hiyo ya Zaire. Yeye ndiye muasisi Mkuu wa kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana nchini DRC, yeye ndiye aliyehusika moja kwa moja katika kulifanya Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo kuwa dhaifu Sana kupindukia kama unavyoliona hivi sasa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo. Ni Mobutu Sese Seko ndiye aliyeanzisha tatizo hili.

Kumbuka: Hatma ya WaCongoman ipo mikononi mwao wao wenyewe.


Nafikiri ni General Kabarebe ndiye alikuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini DR Congo na kisha baadaye alikuwa pia Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini Rwanda.

Janga kubwa zaidi la udhaifu wa Jeshi la DRC ulipata nguvu kubwa sana kupitia kwa Mtu huyo.

Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya DRC hadi leo hii ni dhaifu Sana kutokana na kuwepo kwa Mamluki wengi sana ambao wanawaunga mkono (M23) Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC.
 
Hapa ndipo tunataka kujua, wanakosa haki gani?
Wanojitambulisha kama Watutsi ni wao wenyewe . Hatakujua jina la Banyamulenge!

Tanzania tuna makabila 120 wakiwemo Watusi, Wahutu n.k. Jambo moja zuri, ukijitambulisha kwa Kabila hutakuwa utaonekana kituko, at least kabla ya kuja kwa JPM.

Watu wa mashriki DRC wanajitambulisha kwa makabila ya Banyamulenge na si Wacongoman

Pili, udhaifu wa jeshi nimeueleza chanzo chake bandiko kabla ya hili
Tatu, kuhusu rasilimali hicho ndicho chanzo cha Rwanda kuitamani Kivu na Goma !
2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi.
Hii ni '' deja vu'' . Tumeishi na kuona mengi sana. Tuliambiwa UNITA wanapendwa sana kule Kabinda.
Tena UNITA walikuwa na msaada wa Mataifa makubwa ya magharibi kuzuia influence ya Russia na China kupitia MPLA. Nchi za SADC zilipoamua Savimbi aliondoka. Unajua mipango ilipangwa wapi! Tz

Tuliambiwa RENAMO wanapendwa sana, mwisho wa siku waliamua kuweka silaha chini.
Nguvu likuwa ya SADC

Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.
I agree
Huwezi kuilamu Tanzania kwasababu ilipokea watu zaidi ya milioni 2 kutoka maeneo ya Vita.

Kuna watu wanaingia na kujifanya ni Watanzania wakikingiwa vifua na wenzao waliotangulia.
Serikali iliamua kuwatawanya Wakimbizi waliopewa Uraia kuzuia hali hiyo

Tuna makabila ya mikoa ya Mara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga yenye mbadala Kenya.
Hatujasikia malalamiko! sababu kubwa ni ''stability' katika mipaka kama wa Kenya na TZ

Tuna Wawemba wa Zambia na Wangoni wa Malawi, hatujasikia tatizo! sababu ni stability

Upande wa magharibi lazima tuwe waangalifu, ya M23 yanaweza kutusumbua siku zijazo.
Usidhani M23 wataishia DRC, wakimalizana na DRC watahamia Tanzania!

Hii ni expansion ya Himaya!
 
Hawawezi kuwafukuza hao wanyarwanda jeshini kama kuna ulazima huo, kwanini wanakubali kukaa na mamluki? Tangu mwanzo wanaonekana M23 wanapata full support kutoka Rwanda, kuna kigugumizi gani kuwabembeleza, wapigwe wote, M23, na Rwanda akitaka apigwe tupate utulivu.
 
Walisha infiltrate sana katika mifumo ya DRC kiasi kwamba ni ngumu kuwajua
Katika jeshi, wana siri zote za ulinzi na hapo ndipo tatizo lilipo.

Watu kama Kabarebe walishirikishwa serikali kwasababu waliaminiwa wanatoka mashariki ya DRC ili kuondoa hisia za kwamba eneo hilo linatengwa. Hawa akina Kabarebe ni Wazaliwa wa DRC au Raia kwa miaka mingi. Ghafla tunawaona ni viongozi wa serikali ya PK!

Banyamulenge ambao ni Wanyarwanda hata aliyezaliwa DRC mwaka 1920 bado ana link na Rwanda

CDF General J.J. Nkunda aliposema '' kuna watu wasio Rais wamepewa nafasi za maamuzi'' hayo ni kwasababu kama hizi, kwamba, utawaona ni Watanzania lakini wana link na nchi yao!

Majaluo wa Tz ni Mzawa halisi. Mmakonde ni Mzawa halisi, Mngon ini mzawa halisi. Hawana link
Si kila kabila ni hivyo hasa ya Wahamiaji wa magharibi!

Miaka michache iliyopita kuna Afisa wa Jeshi alikimbia baada ya kuhisiwa, unajua alikwenda wapi! Rwanda
 
SADC ina viongozi wapaka makeups
 
Mkuu, msaada tutani, hivi ni nini kilisababisha wimbi la kwanza la wakimbizi wa kinyarwanda miaka ya 60 na 70?
Mkuu Historia haijawahi kuwa nzuri kwa Rwanda na Burundi. Haikuanza miaka ya 60 na 70, ilianza nyuma ya 1957. Ugomvi wa Watutsi na Wahutu una mizizi ingawa siku hizi wanasema ni ''social class'' kwamba Mhutu anaweza kuwa Mtutsi au vice versa kutokana na Utajiri, sikubaliani na dhana hii

Tatizo lilianza na Belgium, lakini pia likakuzwa baada ya Uhuru mwaka 1962 ambapo Wahutu waliwatimua Watutsi. Kuna Theories nyingi lakini moja kubwa ni kwamba Hutu ni Bantu ndio asilia na Tutsi ni Nilotic wanatoka Horn of Afrika. Ugomvi wa '' Watawala na Wageni'' ndicho chanzo
 
Ukisema kuna halafu ukashindwa kumtaja jina hiyo inakuwa hearsay ama haox
 
Nimekumbuka jina la Jonas Savimbi, kuna siku asubuhi wakati anaendelea kusumbua niliona mzigo mdogo sana ila wa maana mitaa ya kati nikasema Jonas Savimbi kwisha habari yake, niliwaona pia wageni waliotoka mbali ni njia tu walipita wachache wakiwasindikiza ,je yu wapi Lauraa Nkunda ,Joseph Koni? wa wengine,
Kama ni rahisi M23 kujaribu au jina jingine naona Rwanda,Burundi na Congo zitaungana na Tanzania kuwa Taifa moja, na kama Ta Museveni atakuwepo nae ataridhia kujiunga na Tanzania kuwa Taifa moja, maana wananchi hawataka tena vita na propaganda za viongozi
 
PK huwa anadharau vikao vya usuluhishi, leo katua Dar nadhani ni kutokana na vipigo.
Nope Sio Kweli mkuu. Idadi ya vifo vya Askari wa M23 hamaanishi kwamba M23 are defeated.

What do you know about PYRRIC VICTORY?
 
Mtoa mada, what do you know about " Pyrric victory"?
 

..Mobutu pamoja na mabaya yake yote hakumwaga damu ya Wacongo kwa kiwango ambacho Kagame, Museveni, na vibaraka wao, wamefanya.

..Wacongo waliopoteza maisha tangu 1998 Kagame, Museveni,na vibaraka wao, walipovamia DRC, ni wengi kupita kiasi, na inaleta ugumu mkubwa kuitetea Rwanda, au Uganda, katika madai yao dhidi ya DRC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…