Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Anavyotetewa sasa mpaka utachoka. Chadema wengi wamesahaulishwa hata kama kuna uchaguzi wa ndani. Mbowe anaandaa tu mazingira ya kuiba kura
 
Wewe ni mjinga unayepaswa kupuuzwa. CHADEMA wenyewe wanajua thamani ya Rais Samia na kuamua kumpa tuzo.
 
Uliyoandika ni matokeo ya kuziamini sana hisia zako mwenyewe. Samia na JPM ni watumishi wa CCM.
 
Wewe ni mjinga unayepaswa kupuuzwa. CHADEMA wenyewe wanajua thamani ya Rais Samia na kuamua kumpa tuzo.
Mbowe, Zitto , Samia ni kitu kimoja. Wizi wa kura za serikali za mitaa nchi nzima, pamoja na kuua Soka, Kibao nk. hakika wanajua thamani yake.

Tuzo ilikuwa ni kwa ajili ya dili la Samia na Mbowe ndio maana alitoka gerezani kwenda ikulu. Baada ya hapo akapewa 150m kwa kanisa lake kazi ya Mbowe baada ya hapo ni kumpigia debe Samia sio kudai katiba mpya, tume huru tena.

Hata Abdul anaweza kupewa tuzo nyingine na kina Wenje, Mbowe na wenzake kwa kigezo cha uungwana, utu, kumjali Lissu.
 
Nasm tena tumletee ile kali sana

Tumegundua nchi ikiwa na Rais mvuta bhangi mambo huwa yanakwenda kwa speed sana.

In six years tuna SGR, 6 x road lanes, Busisi bridge, Dirimulina, bombadia, daraja wami pale, Stiggler 2000MW.
Watumishi waumma walianza kuiogopa rushwa, kuwa wawajibikaji na kuiogopa picha ya Rais.
what a president.

Niliko bhangi ni ruksa, Leo ngoja nipige misokoto kadhaa nimuenzi mwamba JPM.
 
Greatest Of All Time nimekutukana tusi la nguoni kubwa kabisa. Wewe aiza ulikuwa fisadi, vyeti fake. Wazalendo ambao ndiyo tupo wengi Dkt Magufuli atabaki kuwa kielelezo cha uzalendo. Pole sana kwa chuki yako ila sisi ndiyo tunampenda sana tena sana.
Silombi wajane, hivyo balansi shobo punde utaanza kuokota makopo
 
 
Wasiovuta bhangi wanaona wivu wameshindwa kufanya aliyofanya mvuta bhangi kwa miaka 6.. hahahaha.

Ujasiri wa kujenga power plant ya 2000MW.
Halafu mnatuambia alikuwa anavuta bhangi, kumbe ukivuna bhangi unakuwa na mawazo na mamidea yale? Na nyie vuteni bhangi tu walau mfikie nusu ya ule uwezo.
 
Legacy ya Magufuli haiwezi kufutika kirahisi rahisi ,
Leo CCM inathamani kubwa kwa sababu ya Haysti Magufuli
Hata mama Samia anatembelea nyota yake.
Kama ni watu kuuliwa mbona hats awamu hii wanauliwa?
Tz na Afrika Kiongozi kama Magufuli anahitajika.
Alikuza uwajibikaji kazini hadi private sectors zilianza kupoteana mf. Shule nyingi za private zilikosa wanafunzi kwa sababu shule za serikal zilianza kufanya vizuri.
 
Haya yanasadia nini ikiwa aliteka, kubambikizia watu kesi nawengine kuwadhulmu haki ya kuishi na mwisho kuwatupa baharini?
 
Mkuu kama uko Mwanza Jiji tutafutane tunywe Konyagi tumuenzi Kichaa na Mvuta Bangi wetu aliyewafanyia makubwa Watanzania!!!!!!
 
Unampenda wewe usiweke wingi.Jiwe kaumiza wengi sana.
System imeumiza wengi
Siyo Magufuli kaumiza wengi
Mnagawanywa kiakili na System ili mbaki kujua CCM system nzuri lakini Magufuli ndiyo mbaya.
Hivi ule utekaji wa kina ulimboka, kuuawa kwa kina Alphonse, ulianza lini?

System, nyie mmekalia ati Magufuli. Huyu bi Ushungi anafanya nini sasa?

Hivi watanzania tupo sawa? Lazima tuna matatizo kiakili
 
Kabisa sema sasa vyeti feki wana hasira nae sana, katika watu ambao hawatakuja kumsamehe mzee Baba ni wa vyeti feki


Pata picha mtu kashakula mishahara kama yote, na vyeo kadhaa kapanda

Na madem wa watu analumbua akaja kutumbuliwa vyeti feki lazima adate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…