Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

Samia ameumiza Watanzania wengi zaidi kuliko Rais yoyote.

Wengi wametekwa, kuna wangapi, ameuza maliasili nyingi za Taifa, waulize Wamasai, familia ya Kibao, Soka.

Sera zake zimepandisha Kodi, tozo, being ya umeme, vifaa vyao ujenzi, chakula, mafuta na kuwafanya Watanzania wengi makini zaidi.

Amewakumbatia wezi, mafisadi wote anawaambia kuleni kwa urefu wa kamba zenu.

Vilio kila sehemu wizi, uporaji wa viwanja mashamba, nyumba za maskini kila sehemu pamoja na ubakaji umeshamiri, uchomaji masoko, umeshamiri.
Anavyotetewa sasa mpaka utachoka. Chadema wengi wamesahaulishwa hata kama kuna uchaguzi wa ndani. Mbowe anaandaa tu mazingira ya kuiba kura
 
Samia ameumiza Watanzania wengi zaidi kuliko Rais yoyote.

Wengi wametekwa, kuna wangapi, ameuza maliasili nyingi za Taifa, waulize Wamasai, familia ya Kibao, Soka.

Sera zake zimepandisha Kodi, tozo, being ya umeme, vifaa vyao ujenzi, chakula, mafuta na kuwafanya Watanzania wengi makini zaidi.

Amewakumbatia wezi, mafisadi wote anawaambia kuleni kwa urefu wa kamba zenu.

Vilio kila sehemu wizi, uporaji wa viwanja mashamba, nyumba za maskini kila sehemu pamoja na ubakaji umeshamiri, uchomaji masoko, umeshamiri.
Wewe ni mjinga unayepaswa kupuuzwa. CHADEMA wenyewe wanajua thamani ya Rais Samia na kuamua kumpa tuzo.
 
Hii ni kampeni ya October 2025. Tutasikia mengi Sana ili Samia aonekane ana unafuu, mwema, muadilifu. JPM anatumiwa kama ngazi na awamu hii ya sita.

Huyu makamu na genge lake waliokuwa wanavujisha siri za kila aina kwa kigogo, mange wangekaa kimya miaka mitatu wakijua haya?

Mmejaribu kila kitu. Malizieni kwamba alibaka wanawake, watoto, wazee na wapinzani wake ikulu.
Uliyoandika ni matokeo ya kuziamini sana hisia zako mwenyewe. Samia na JPM ni watumishi wa CCM.
 
Wewe ni mjinga unayepaswa kupuuzwa. CHADEMA wenyewe wanajua thamani ya Rais Samia na kuamua kumpa tuzo.
Mbowe, Zitto , Samia ni kitu kimoja. Wizi wa kura za serikali za mitaa nchi nzima, pamoja na kuua Soka, Kibao nk. hakika wanajua thamani yake.

Tuzo ilikuwa ni kwa ajili ya dili la Samia na Mbowe ndio maana alitoka gerezani kwenda ikulu. Baada ya hapo akapewa 150m kwa kanisa lake kazi ya Mbowe baada ya hapo ni kumpigia debe Samia sio kudai katiba mpya, tume huru tena.

Hata Abdul anaweza kupewa tuzo nyingine na kina Wenje, Mbowe na wenzake kwa kigezo cha uungwana, utu, kumjali Lissu.
 
Nasm tena tumletee ile kali sana

Tumegundua nchi ikiwa na Rais mvuta bhangi mambo huwa yanakwenda kwa speed sana.

In six years tuna SGR, 6 x road lanes, Busisi bridge, Dirimulina, bombadia, daraja wami pale, Stiggler 2000MW.
Watumishi waumma walianza kuiogopa rushwa, kuwa wawajibikaji na kuiogopa picha ya Rais.
what a president.

Niliko bhangi ni ruksa, Leo ngoja nipige misokoto kadhaa nimuenzi mwamba JPM.
 
Mungu akubariki na kukulinda! Huu ndio ukweli!
Naongezea!
13. Alikuta nchi haina ulinzi wa anga, akanunua radar zaidi ya nane kulinda anga yoote ya Tanzania
14. Alikuta masikini ambao wasingeweza kumudu kuingiza umeme kwenye nyumba na vijiji vyao kawapelekea na kuwaingizia umeme bure kwa kulipa 27,000/=
15. Alikuta michango kichefuchefu shule za msingi hadi sekondari akafuta michango yoote na ada zote ili watanzania wafurahie rasilimali za nchi zao. Mpaka sasa ninashuhuda matajiri watoto wao wanasoma shule za serikali form 5 hadi 6
16. ..
 
Wasiovuta bhangi wanaona wivu wameshindwa kufanya aliyofanya mvuta bhangi kwa miaka 6.. hahahaha.

Ujasiri wa kujenga power plant ya 2000MW.
Halafu mnatuambia alikuwa anavuta bhangi, kumbe ukivuna bhangi unakuwa na mawazo na mamidea yale? Na nyie vuteni bhangi tu walau mfikie nusu ya ule uwezo.
 
Tunampenda/Tutampenda/ yaan HAPA KAZI TU ilikua ni bonge la slogan ever..

Enzi izo mpaka safari za nje canceled ✖️ ❌
Mambo ya chai 😁 semina/ warsha canceled ❌ ✖️

Alisafisha safishaa balaaa Bado vyeti FEKI 🏃🏃🏃

Mtu mmoja anaingia kwenye bodi mpaka 5 na ana sign mamilioni..

Dili..mtu anamiliki nyumba mpaka 90...anahonga ma IST..Anasafiri nje mpaka familia Ina m miss mpaka Ina m miss place kwenda ulaya kuliko kijijini kwao..

Alionyeshwa kompyuta mbovu alipo fanya ziara ya kushitukizaa BANDARINI 😊😊 aka lala nao mbeleee

Mazuri ya JPM ni mengi Sanaa ALIJIPUNGUZIA MPAKA MSHAHARA WAKEE MWENYEWE..

MAGUFURI ALIKUA NI MTU WA PEKEE SANAA SHOW ALIYO WAPA MPAKA SASA INAWALEVYA

MAGUFURI alipinga ushoga na shisha na vilainishi...watetea mashogaaa wakanunaa..

FOR ALL HATERS 😤
Legacy ya Magufuli haiwezi kufutika kirahisi rahisi ,
Leo CCM inathamani kubwa kwa sababu ya Haysti Magufuli
Hata mama Samia anatembelea nyota yake.
Kama ni watu kuuliwa mbona hats awamu hii wanauliwa?
Tz na Afrika Kiongozi kama Magufuli anahitajika.
Alikuza uwajibikaji kazini hadi private sectors zilianza kupoteana mf. Shule nyingi za private zilikosa wanafunzi kwa sababu shule za serikal zilianza kufanya vizuri.
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Haya yanasadia nini ikiwa aliteka, kubambikizia watu kesi nawengine kuwadhulmu haki ya kuishi na mwisho kuwatupa baharini?
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Mkuu kama uko Mwanza Jiji tutafutane tunywe Konyagi tumuenzi Kichaa na Mvuta Bangi wetu aliyewafanyia makubwa Watanzania!!!!!!
 
Unampenda wewe usiweke wingi.Jiwe kaumiza wengi sana.
System imeumiza wengi
Siyo Magufuli kaumiza wengi
Mnagawanywa kiakili na System ili mbaki kujua CCM system nzuri lakini Magufuli ndiyo mbaya.
Hivi ule utekaji wa kina ulimboka, kuuawa kwa kina Alphonse, ulianza lini?

System, nyie mmekalia ati Magufuli. Huyu bi Ushungi anafanya nini sasa?

Hivi watanzania tupo sawa? Lazima tuna matatizo kiakili
 
1. Alikuta marais wenye akili wameua shirika la ndege, yeye akalifufua na kununua ndege 11 tena kwa cash. Huyu ni kichaa mzuri.

2. Alikuta wenye akili wameshindwa kuja na suluhu ya kudumu ya tatizo la umeme. Kichaa huyu akajenga Bwawa la Mwl Nyerere.

3. Alikuta maelfu ya watumishi hewa na matapeli waliokuwa na vyeti feki. Kichaa akawatembezea rungu, wakaanguka chalii.

4. Alikuta Reli yakati ikiwa hoi bin taaban baada ya marais wenye akili kushindwa kuiendesha. Kichaa akaanza kujenga reli ya SGR ili wenye akili wasafiri kwa raha.

5. Alikuta changamoto kubwa ya foleni Dar baada ya wenye akili kusema kuwa foleni ni kipimo cha maendeleo. Kichaa akajenga Kijazi, Mfugale na Tanzanite ili wenye akili wawahi kufika waendapo.

6. Alikuta wenye akili wanaendelea kuendesha serikali yenye ofisi Dar wakati makao makuu ni Dodoma. Kichaa akawahamishia wote Dodoma kwa lazima na kuanzisha ujenzi wa mji wa serikali.

7. Alikuta wenye akili wanatumia ikulu waliyojengewa na wakoloni, Kichaa akaamua kujenga ikulu mpya Chamwino tena ikajengwa na Wanajeshi wazalendo.

8. Alikuta huduma mbovu za Afya. Kichaa akajenga Hospitali kubwa za kanda Njombe, Mtwara, Mara na Geita + Hospitali za rufaa 67 na vituo vya Afya 1000+. Huyu kweli alikuwa chizi.

9. Alikuta watumishi wa Afya na Matajiri wanaishi kwa mazoea na kuwadharau raia wenye hali duni. Kichaa akafanya matajiri wawaogope na kuwaheshimu maskini vibaya mno.

10. Alikuta wenye akili wanatumia saa kadhaa toka Kigongo kwenda Busisi akawajengea daraja wapite fasta.

11. Alikuta tatizo kubwa sana la maji mkoani Arusha, akawajengea wajanga wa R chuga mradi wa bilioni 500 sahivi lema anaogelea tu huku anamtukana kichaa.

12. Alipanua bandari zote na kusisitiza kuwa tunaweza kutumia akili zetu kuziendesha kwa ufanisi lakini wenye akili wakasema sisi hatuwezi wakawapa waarabu na lile tapeli la India linalotafutwa na Marekani, yes lile lililofukuzwa hapo Kenya.

13. Kichaa aliyevunja mikataba ya kitapeli na makampuni yanayotuibia rasilimali za nchi na kuzuia usafirishaji wa makinikia mpaka mafisadi wakapanda ndege kuja kukubaliana upya na kufikia win-win situation.

Huyu ni kichaa mzuri, naam Kichaa wa nguvu.

Hapo sijazungumzia barabara, meli n.k
Kabisa sema sasa vyeti feki wana hasira nae sana, katika watu ambao hawatakuja kumsamehe mzee Baba ni wa vyeti feki


Pata picha mtu kashakula mishahara kama yote, na vyeo kadhaa kapanda

Na madem wa watu analumbua akaja kutumbuliwa vyeti feki lazima adate
 
Back
Top Bottom