Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ufusika utakufa Maskini. Kufanya Ngono hovyo hovyo kama kuku ni laana
 
Hata kutongoza tulishaacha, SIKU HX TUPO KIDIGITAL YANI TUNAKUTANA TUNAWEKA APPOINTMENT THEN MTU ANALIWA VZR TU.BAADA YA HAPO KILA MTU NA 50 ZAKE,UKIMMISS UNAANDAA FUNGU THEN KAMA KAWAIDA
And all these happens kwenye ulimwengu wa kichwa chako sio??
 
Siku hizi wadada nao "wanapita" na wanaume tena wengine wana "hit and run" kabisa. Mimi kuna mmoja kanipitia mara mbili nadhani alifikiri nna hela za mchezo, baada ya kunipiga vizinga mara kadhaa na mimi kuvichomoa kaamua kuni dump!
Jesus 😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…