[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahah..hapana hao uncertified but ma pro sellers hata siku 1 siwezi kujichanganya nikawala..Never yan.
Huwa tuu nikivurugwaaa na mambo yangu katika kupoteza poteza muda hua kaanza kuwasumbua.
Unakuta mtu dau lake anasema 70k basi naanza ku bargain naoo kama nina hela vile namshuka haswaa mpaka 25k [emoji23][emoji23] halaf namwambia hapo nitalipa usafir kisha natuma location...akija mi nishasepa kitamboooo
DuAchana nao single mother
JesusBila pesaa cku hzi ,uamue tu kujiunga chaputa ..
Na wewe unaamini hayo baby?!Iko wazi
1. Mungu na oxygen yake
2. Hela
Sasa kama Stori ya manungaembe mbona we uko hapa commenting?!Hizo ni stori za madunga embe, wauza kipochi manyoya, wanawake wanaojielewa na wenye vipato vyao hawatafuti wakupita nae isipokuwa uhusiano wenye tija juu ya kesho yao.
Wanasema: kataa kubali iko hivyo!Na wewe unaamini hayo baby?!
good girl[emoji1474]
[emoji16]Kaza bruh watakuchezea na kukupotezea muda [emoji1]
Kwamba unetulia tu wao wanakuja kwa juu kukuchezea na kusepa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha tu mimi wananichezea sana na kuniacha dah naumia sana [emoji1]
Acha ufusika utakufa Maskini. Kufanya Ngono hovyo hovyo kama kuku ni laanaKwani siku hizi class na desires mmemwachia shetani awashikie au?
Nipo hapa kwenye kituo nasubiria usafiri, kuna wadada wanaongea kuhusu kupata hela na mabwana.
Katika maneno yao meeengi, hili la mwisho ndio nilichoka. “Haijalishi mwanaume ni mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae"
Mwenzake akauliza kama hana hela na ni mfupi je? Utapita nae?
Kama hana hela na ni mrefu je? Utapita nae?
Naomba kuuliza, Kwani siku hizi hamna mapenzi tena? Watu wanaangalia pochi tu? Pochi ikikata utaangalia nini?
Cc: 50thebe mshamba_hachekwi Smart911 Ushimen
chaputa ni nzuri ila tatizo ni mgongo kuuma kila wakati, macho kupoteza nuru, na uchovu usioisha harakaBila pesaa cku hzi ,uamue tu kujiunga chaputa ..
SauwaWanasema: kataa kubali iko hivyo!
Zamani walisema sabuni ya roho ni hela. Haijabadiilika!
And all these happens kwenye ulimwengu wa kichwa chako sio??Hata kutongoza tulishaacha, SIKU HX TUPO KIDIGITAL YANI TUNAKUTANA TUNAWEKA APPOINTMENT THEN MTU ANALIWA VZR TU.BAADA YA HAPO KILA MTU NA 50 ZAKE,UKIMMISS UNAANDAA FUNGU THEN KAMA KAWAIDA
Jesus 😱Siku hizi wadada nao "wanapita" na wanaume tena wengine wana "hit and run" kabisa. Mimi kuna mmoja kanipitia mara mbili nadhani alifikiri nna hela za mchezo, baada ya kunipiga vizinga mara kadhaa na mimi kuvichomoa kaamua kuni dump!
KwakeUnapita nae unaenda nae wapi?
Hakuna anaeongelea maadiliHiyo ni personal issue, usituulize sisi kanakwamba Tanzania yote inaweze kuwa haina maadili.
Washindwe Kwa jina la YesuPale tunaposema shetani kanipitia.....muwe mnatuelewa,hao ndo mashetani sasa..?? Muda wote wanawaza kupita na sisi.