Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Le
leo kavaa liramani eeh
 
Hamna maajabu, ana haki ya kutafuta kazi popote pale kwenye riziki ya halali, tumtakie kila la kheri
Mbona wachezaji tunaowashabikia huwa wanahama timu zao pendwa kwenda timu zingine?

Manara aende popote tu maana tumbo(masilahi) kwanza, mengine baadaye.
 
Mambo
Mambo ya CCM na CHADEMA hayo
 
Klabu ni zaidi ya Mtu, ninyi mbumbumbu mbona mna matatizo sana?
 
Kila La Heri Kwa Hadji Manara
Tulia Fanya Kazi Mengine Ni Pesa Tu Hitaji Kwa Kila Mtanzania
M 9.8 eti ukomae tu na ujinga ujinga wa mahaba ya kufia tai shingoni ilihali familia yako inakufa kwa njaa, hata kama angekuwa Nani Manara yuko sahihi kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…