Huyu alikua kunguni anatu back bites, sasa ukweli umejulikana tuhuma zote alizohusishwa zimethibitishika kua ni kweli he was not accused by conspiracy theories it was realMsaliti mkubwa huyu, waliokuwa wakimtetea leo wamemuone dhahiri anavyoonyesha usaliti wake.
Sawa mkuuTafuta watu waliosoma Cuba watakuelewesha hili jambo mkuu
Babra mkali asee,dah,,!Madam Super woman.......Very intelligent .....Very Genius
Madam wetu ana jicho la mbali sanaaaaaaaaaa.
Shadeeya View attachment 1906584
Sawa hatumzuii kutafuta riziki, ila kwa staili ya undumilakuwili sidhani kama kuna mwajiri ambaye anaweza kuivumilia eti kwakua anatafuta mkateLazima akatafue mkate wake mkuu ili familia yake maisha yaende
Achana na ushabiki, Manara atafanya kazi gani zaidi ya ile ya usemaji
Upo sahihi sana MkuuWadau mnaonaje Haji Manara Kuhamia Yanga
Kwa Upande Wangu Nampongeza sana Haji Manara Kuhamia Yanga jamani tukiachana na ushabiki Maslai ndo kila kitu ukiangalia na maisha haya ya Tozo kila sehemu basi lazima uweke ushabiki pembeni na Na uweke Maslai mbele
Mkuu tunakuomba na wewe uhamie Simba kama hutojali.Yap! Hiki ndo kimemleta na upande wa mapenzi kwa Yanga hayapo.
Na ndio sababu wakati namsikiliza kuna sehemu alisema Klabu yenu. [emoji854] angekuwa mshabiki kweli asingetumia hiyo yenu.
[emoji23]Nendeni naye taratibu..Itamchukua muda kuzoea Dada..Yap! Hiki ndo kimemleta na upande wa mapenzi kwa Yanga hayapo.
Na ndio sababu wakati namsikiliza kuna sehemu alisema Klabu yenu. [emoji854] angekuwa mshabiki kweli asingetumia hiyo yenu.
Kweli leo naamini waliokua wakisema huyu bwabwa na bwana zake wanajulikana na zaidi alikuwa akitumiwa na jamaa kbsWanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga
======
Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea
"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”
Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba
View attachment 1906602