OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Utajua maana ya mkataba wewe. Unajua Implied Contract?Apo Haji hana makosa, ametumia loop hole ya madhaiu ya Simba ya kutompa mkataba wa kazi
Kama Simba wangempa mkataba wa kazi naamini kabisa kuna baadhi ya vifungu vingemfunga kufanya ubalozi na makampuni pinzani ya Metl
Mkuu we sio Simba si Siri we ni uto hata mwandiko wko unaonyesha hatutaki mamluki wa kupunguza idadi ya magoli hio 25 lake TanganyikaInavyoonekana unampenda Sana manara,lakini pia unampenda Barbara,na hutaki kumpoteza yoyote ndio maana umekuja na kauli eti "mind game"
Mpira wa kileo haumuhitaji manara ili timu ipate ushindi...
Labda awepo kuwapa hamasa aina ya mashabiki Kama wewe ili muende uwanjani lakini sio kuingilia mipango ya utendaji clabu..
Ni muda manara atuachie timu yetu iendeshwe kiuweledi,yeyd akakas na muchacho wajadili namna ya kuleta hamasa kwa mashabiki
Vp umetoka Rwanda kuja kuleta chokochoko msimbazi umefeli dictator uchwara in lissu's voiceWw utakuwa demu wake na Mo siyo kwa mipasho hyo
Bora usaive na Kama unataka hela njoo nikupe mkeka sio kulialia hela hunaNa save comment yako mpaka 25 saa 12:45 jioni
Leo nimesikia audio ikitembea mitandaoni inayodaiwa kuwa imerekodiwa na Manara akimtuhumu kwa mambo mengi Barbara.Inaonekana hawa watu wana mgogoro wa mda mrefu na hawawezi kufanya kazi tena pamoja. Wewe kama mwanasoka unadhani nini kifanyike? Au ni madhara ya Mo kujimilikisha timu kifamilia?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye audio hyo Manara kaenda mbali zaidi na kumtishia Barabara sijui Barnaba sorry Barbana,duuh Barbara kwamba ataiacha timu kama alivyoikuta.Sasa hapo sijui nani anaondoka nani anabaki.
Povu ruksa nina nguo chafu hapa.
Najaribu kuapload audio husika hapa inazingua
=====
Afisa Habari wa Simba Haji Manara ameamua kumtolea uvivu Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez.
Haji anadai Mtendaji huyo amekuwa akimuandama sana na kumnyima raha muda wote toka ameshika majukumu hayo.
Pia, soma> Barbara Gonzalez amkwepa Manara, asema focus yake kushinda game ya Jumapili
View attachment 1862918
Moderators futuni hii kauli na uliyeandika omba radhiManara Ana mental disorders kumbuken n albino alafu kumbuken akiliharibu huwa anatafta huruma ya mashabiki
Muosha huoshwa, aache kulia lia.View attachment 1863466
Katika muendelezo wa msuguano kati ya Haji Manara na CEO wa simba Barbara Gonzaléz , imetolewa voice note nyingine ambapo Haji Manara amesikika akilia kuwa anaonewa na kufanyiwa dhuluma, Haji amesikika akiongea kwa sauti ya masononeko kuwa ana wasiwasi kwa visa anavyofanyiwa anaweza kuuwawa.
kwani wamemfanya nini uyu jamaa anaweka vilio hapa afu anatangaza matangazo ya maziwa, au danganya toto?View attachment 1863466
Katika muendelezo wa msuguano kati ya Haji Manara na CEO wa simba Barbara Gonzaléz , imetolewa voice note nyingine ambapo Haji Manara amesikika akilia kuwa anaonewa na kufanyiwa dhuluma, Haji amesikika akiongea kwa sauti ya masononeko kuwa ana wasiwasi kwa visa anavyofanyiwa anaweza kuuwawa.
Alipewa mkataba wa kulipwa kila mwisho wa mwezi M20 akakataa wenye kipengele cha kutojihusisha na kampuni zingine kwaiyo atulie tu na Laki 7Analipwa 700? Kwa currency ipi?
Kwa mkataba upi!? Hamna sheria inayofanya kazi bila mkatabaWalipe mafao yake. Sheria ziko wazi, hata kama mikataba haiko vzr bado sheria ipo.
Asidhulumiwe