Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta

Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta

Apo Haji hana makosa, ametumia loop hole ya madhaiu ya Simba ya kutompa mkataba wa kazi

Kama Simba wangempa mkataba wa kazi naamini kabisa kuna baadhi ya vifungu vingemfunga kufanya ubalozi na makampuni pinzani ya Metl
Utajua maana ya mkataba wewe. Unajua Implied Contract?
 
Inavyoonekana unampenda Sana manara,lakini pia unampenda Barbara,na hutaki kumpoteza yoyote ndio maana umekuja na kauli eti "mind game"

Mpira wa kileo haumuhitaji manara ili timu ipate ushindi...
Labda awepo kuwapa hamasa aina ya mashabiki Kama wewe ili muende uwanjani lakini sio kuingilia mipango ya utendaji clabu..

Ni muda manara atuachie timu yetu iendeshwe kiuweledi,yeyd akakas na muchacho wajadili namna ya kuleta hamasa kwa mashabiki
Mkuu we sio Simba si Siri we ni uto hata mwandiko wko unaonyesha hatutaki mamluki wa kupunguza idadi ya magoli hio 25 lake Tanganyika
 
Mbona kama vile wote wawili wanamgombea MO sio Simba?mimi kama sielewi vile
 
Leo nimesikia audio ikitembea mitandaoni inayodaiwa kuwa imerekodiwa na Manara akimtuhumu kwa mambo mengi Barbara.Inaonekana hawa watu wana mgogoro wa mda mrefu na hawawezi kufanya kazi tena pamoja. Wewe kama mwanasoka unadhani nini kifanyike? Au ni madhara ya Mo kujimilikisha timu kifamilia?🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwenye audio hyo Manara kaenda mbali zaidi na kumtishia Barabara sijui Barnaba sorry Barbana,duuh Barbara kwamba ataiacha timu kama alivyoikuta.Sasa hapo sijui nani anaondoka nani anabaki.

Povu ruksa nina nguo chafu hapa.


Najaribu kuapload audio husika hapa inazingua

=====

Afisa Habari wa Simba Haji Manara ameamua kumtolea uvivu Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez.

Haji anadai Mtendaji huyo amekuwa akimuandama sana na kumnyima raha muda wote toka ameshika majukumu hayo.

Pia, soma> Barbara Gonzalez amkwepa Manara, asema focus yake kushinda game ya Jumapili

View attachment 1862918

IMG-20210722-WA0102.jpg
 

Katika muendelezo wa msuguano kati ya Haji Manara na CEO wa simba Barbara Gonzaléz , imetolewa voice note nyingine ambapo Haji Manara amesikika akilia kuwa anaonewa na kufanyiwa dhuluma, Haji amesikika akiongea kwa sauti ya masononeko kuwa ana wasiwasi kwa visa anavyofanyiwa anaweza kuuwawa.
 
View attachment 1863466
Katika muendelezo wa msuguano kati ya Haji Manara na CEO wa simba Barbara Gonzaléz , imetolewa voice note nyingine ambapo Haji Manara amesikika akilia kuwa anaonewa na kufanyiwa dhuluma, Haji amesikika akiongea kwa sauti ya masononeko kuwa ana wasiwasi kwa visa anavyofanyiwa anaweza kuuwawa.
Muosha huoshwa, aache kulia lia.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1863466
Katika muendelezo wa msuguano kati ya Haji Manara na CEO wa simba Barbara Gonzaléz , imetolewa voice note nyingine ambapo Haji Manara amesikika akilia kuwa anaonewa na kufanyiwa dhuluma, Haji amesikika akiongea kwa sauti ya masononeko kuwa ana wasiwasi kwa visa anavyofanyiwa anaweza kuuwawa.
kwani wamemfanya nini uyu jamaa anaweka vilio hapa afu anatangaza matangazo ya maziwa, au danganya toto?
 
Manara design kama nae hana misimamo, wao wanamuhisi anauza club, huu ni mda wa Manara kusema basi ajiuzulu awaachie club yao,aache kutafuta huruma kwa mashabiki.

Ila siamini mpaka Mo nae anamuhisi vibaya Manara. Wanasimba huu mpira na hii ni derby mara nyingi zina matokeo ya ajabu haijalishi una kiwango gani,unaweza ukawa vizuri na ukapigwa. Manara mpayukaji, ana mihemko, domo lake halina break ila nina uhakika Manara hawezi kuiuza Simba.
 
Back
Top Bottom