Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Siku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
😁😁😁
 
Siku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
Angalia kitaa au airport wasikuchote unyayo. Wanaochotwa unyayo huwa wakifika lazima waone giza giza tu, yaani wanajiona wapweke, vyakula vibaya, watu wapo busy kama maroboti. Mwisho huamua kurudiπŸ˜ƒ, kumbe wamechotwa unyayoπŸ˜ƒ
 
Mkate Na Soda Hii Mbona Ngumu Kumeza Kuna Usemi Wa Hakuna Mkate Mgumu Mbele Ya Chai.
 
Angalia kitaa au airport wasikuchote unyayo. Wanaochotwa unyayo huwa ni lazima wakifika lazima waone giza giza tu, yaani wanajiona wapweke, vyakula vibaya, watu wapo busy kama maroboti. Mwisho huamua kurudiπŸ˜ƒ, kumbe wamechotwa unyayoπŸ˜ƒ
Weee nikiondoka wanafki siwaagi
Wataona status tu
 
Sunday Manara alicheza mpira uholanzi na USA
 
Una uu..
Una uu..
Una uu..
Una ushaambaaa
Eeih shukushuku shukuku
Aaih shukushuku shukuku
Shukuuuuu
Shukukuuu
 
Anne sura zetu watu wa mikoani tutaziweka wapi 😁😁😁, ukija na Mwanza, usisahau kupiga picha na sanamu la samaki pamoja na bismark rocks
Huko Mwanza hadi nimalizane na Daslama kwanza
Tanzania ipo Dar.


Bado sijapiga picha Mfugale Flyover.

City mall kwenye zile ngazi zinatembeaπŸ˜‚Almanusura ning'oe meno.
 
Nilipofika Dar
Cha kwanza ilikuwa kwenda kupiga picha kwnwye sanamu la Posta

Sanamu miaka nenda miaka rudi naliona kwenye TV
Nikaona nikalishuhudie live .
Sema ukwel mzee: baada ya kupiga picha ulinunua mkate mkuuubwa na soda. Ukibisha nashusha picha ukiwa na hilo limkate
 
Huko Mwanza hadi nimalizane na Daslama kwanza
Tanzania ipo Dar.


Bado sijapiga picha Mfugale Flyover.

City mall kwenye zile ngazi zinatembeaπŸ˜‚Almanusura ning'oe meno.
😁😁😁😁 Anne

tatizo hukupiga picha na kimondo cha mbozi Ila unashoboka na mji ndio maana mizimu ya mbeya ikataka kukutia adabu kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…