Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Manara yupo kazini.

Mnadhani asipoingilia Ugomvi Wa Bosi wake atalipwaje? Kiufupi ni anatekeleza majukumu yake ili watoto waende Chooni...
 
Jiepushe sana na marafiki wenye tabia za manara.
Mtu huyu siku zote anatabia ya kujipendekeza kwa wenye navyo Kati ya madaraka/pesa siku ukiishiwa anaenda kuungana na maadui zako
Kitakacho kusaidia ili asikumalize ni zile silaha ambazo hukumuonyesha enzi za urafiki wenu na Kama ulimuonyesha silaha zote atakumaliza.
 
Machawa siku zote wanakuwa na backup
 
Ila manara ajiangalie sana.mdomo uliponza kichwa.
 
Pamoja na mapungufu ya Makonda bado Haji hapaswi kulibeba kombe la kumnanga.

Hivi unatoa wapi nguvu za kumnamga mtu usiyeijua kesho yake ya kisiasa?!

Haji anayo hakika kwamba Makonda mwisho wake kisiasa umefika?!

Ukweli ni kwamba hawa kina Makonda na Sabaya hata wakifungwa binafsi naamini yupo jamaa yao mmoja atachukua madaraka makubwa na atawapa vyeo tena ama atawanyanyua.

Kwa muktadha huo Haji kuwa na akiba ya maneno.
 
Anahaki ya kuongea na kutoa madukuduku ya moyoni Kama ambavyo katiba ya nchi inamruhusu.

Wengi wangetamani kusema lakini hawana platform za kufikia watu wengi, so muacha aseme Kwa niaba ya watu walioonewa na uongozi wa Makonda.
 
Waache wamalizane Makonda mwenyewe mshenzi tu
 
Anahaki ya kuongea na kutoa madukuduku ya moyoni Kama ambavyo katiba ya nchi inamruhusu.

Wengi wangetamani kusema lakini hawana platform za kufikia watu wengi, so muacha aseme Kwa niaba ya watu walioonewa na uongozi wa Makonda.
Lakini naona kama imekuwa too much kwake ,ana attack Sana
 
Lakini naona kama imekuwa too much kwake ,ana attack Sana
Sometimes yes sometimes no maana siasa bwana haieleweki leo Kinana karudi kazini 🤣🤣.
Jambo la msingi kama wewe sio mwanasiasa kaa mbali na wanasiasa.
 
anayemnyanyua binadamu ni mwenyezi Mungu.

Mwenyezi Mungu akikunyanyua, unapaswa kuwa na busara nyingi sana na kumfurahisha yeye aliyekunyanyua kupitia matendo yako..
 
ameongea nini... weka kiambatanisho chake manara... una feli wapi kiongozi?
 

Acha uoga. Mbona wenyewe walitesa watu hadharani?. Usizuie watu kuongea ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…