Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

20220313_073207.jpg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Makonda kazulumu kiwanja cha yanga kigamboni walichopewa na manji, kwa mradi wake wa kitapeli wa show room za magari wa kigamboni
 
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Cheti cha kughushi,napata shaka hata mkataba utakuwa wa kughushi!!
Aliyetoa pesa bandia kauziwa bidhaa bandia ngoma droo!!
 
Hili bado kimenyamaziwa ila soon nalo litapanda hewani!! Tulipata kuandika humu "kama tadinu tudanu!" kikombe kilekile kinanywewa upande wa pili sasa
Makonda kazulumu kiwanja cha yanga kigamboni walichopewa na manji, kwa mradi wake wa kitapeli wa show room za magari wa kigamboni
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri.

Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu ya mpira wa Miguu ya Yanga SC ya Tanzania, amesema atulie tuli kama ananyolewa.

Haji kadai Wakati Makonda akiwa Serikalini, alimlaza Korokoroni bila sababu.

Ipo hivi;
View attachment 2148311
Leo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.

Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).

Baada ya taarifa hiyo, Paul Makonda Aliandika hivi;



Baada ya kuandika Ujumbe huo, Haji Manara alijibu hivi;


Pia soma;

1). Wananchi kukosa imani na Polisi: CCM yaagiza Jeshi la Polisi lichunguzwe

2). Makonda: Baadhi ya Askari Polisi jijini Dar wanawalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu

View attachment 2148285
Makonda Yuko sahihi haijalishi kama na yeye alishawahi kuwa sehemu ya mfumo.Mara nyingi tumeshawahi kuona viongozi wengi waandamizi wa chama tawala na serikali ambao ni wastafu kwa sasa ,wakikosoa baadhi ya mambo ingawa na wao walikuwa sehemu ya mfumo!
 
Screenshot_20220314-100708_Chrome.jpg

✍️Heshimu watu brother...Cheo, Umaarufu na Pesa huondoka... Sponsors hufa!

📌Ni kweli Paul Makonda alikua na madhaifu mengi tu ya kiuongozi kama walivyo viongozi wengine..

Lakini kabla hujamnyooshea kidole jiulize wewe ukiwa Simba uliwatukana wangapi?
Angekuwepo Magufuli na wewe ukaendelea kubaki Simba ungeyasema haya?

📌Wewe sindio ulisema Yanga wenye akili ni Baba yako na Mzee Kikwete? Uliwaumiza wangapi kwa kauli yako hii?

📌Uliwatukana waandishi wa habari wangapi?
Nakukumbusha baadhi yao Shaffih Dauda,Priscar Kishamba ,Maulid Kitenge na wengine wengi tu.

📌Unadhani bila huruma ya GSM wewe ungekuwa wapi leo?
Unadhani GSM asingekuwepo Yanga, ungefanya kazi Yanga wewe?

📌Leo uko Yanga kila siku kumtukana Mohamed Dewji na Barbara Gonzalez hilo huoni kama ni tatizo?

📌Umewaumiza wangapi kibiashara ukiwa Yanga? Dauda, Clouds,Vunjabei na hata GSM mwenyewe kuna sehemu umemuumiza sana sema hataki kusema tu.

📌Kwanini huo uungwana unaouhubiri usiufanye wewe?

📌Ni kweli inafahamika upo Yanga kwa kazi moja tu ya kuitukana Simba (hasa Mo Dewji) na kuwasifia GSM

📌Ni kweli tunajua bado unaipenda Simba ndio maana hujawahi kuwakejeli wala kuwatukana wachezaji wa Simba ispokuwa Mo Dewji na Barbara Gonzalez waliokuondoa kwenye nafasi yako

📌Lakini, unajiskiaje unapomshambulia na kumtukana mtu kila siku ambaye hakujibu? Imani yako inasemaje?

📌Tatizo lako Brother unataka kila kitu uwe wewe...Yaani Diamond uwe wewe,Samatta uwe wewe, Mayele uwe wewe,Rais uwe wewe,Gharib uwe wewe nk

Unataka ku-trend wewe tu....!!

📌Kabla hujamnyooshea kidole mwenzio angalia hivyo vidole vitatu vinavyokuangalia wewe..

Credit Sospeter Ilagila
 
Aisee kila nikiona post za Manara akimsulubu Makonda kwa kweli kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza. Pamoja na matatizo ya Makonda lakini sikutegemea leo Manara ndio awe kinara wa kumsulubu kiasi hicho.

Sio kila rafiki yetu leo ni rafiki wa kweli. Wengine ni wanafiki tu tu wanakuwa ni marafiki kwa sababu ya pesa, uwezo au vyeo tulivyonavyo. Yale yale ya "LE MUTUZ " na Majizo. Yaani sasa hivi nimeanza kukaa kimachale machale kama mchina na marafiki zangu wote.

Nakubaliana na mdau hapo juu aliyesema kuwa watanzania wengi ni wanafiki.
 
Back
Top Bottom