mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Karma huwa haisahau pa Kwenda !!Makonda mwaka wake huu🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma huwa haisahau pa Kwenda !!Makonda mwaka wake huu🤣
Jani ni mmea poa sana
Wakwenda mahakamani ni Makonda maana yeye ndio katimuliwa pale kwa msaada wa polisi ndio maana anawalaumu polisi kwa kuwalinda wafanyabiashara matapeli.Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.
Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.
Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.
Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Hahaaa! Eti bureSasa anaetakiwa aende mahakamani ni nani? Anaedai au anaedaiwa? Mshauri Makonda aende mahakamani na vielelezo vya kununua ardhi, asijekusema kiwanja cha mamia ya mamilioni "amepewa" bure
![]()
![]()
amesema atulie tuli kama ananyolewa
Huwezi vamia media na mapolisi na bado ukawa mtumishi wa ummaMagu hajawahi kuendekeza upuuzi na ndio maana hata sakata la makontena aliiacha TRA wafanye yao pamoja na Ex-RC kulalamika kwenye Media atashtaki kwa Mkulu!!, kulindwa kupi unakosemea??
Leo makonda ni mtu wa kuwasema polisi badala ya kuwaamrishaWameondolewa kwenye ubunge wao?
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana akili zenu mnapeleka wapi?
Watu wanakula mema ya nchi huku wewe unapigwa vumbi alafu unasema wamekomolewa?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kabisa maana kila uzi anakipostInawezekana ni Bashite mwenyewe, hizi ID za humu JF ni kitendawili sana.
Mbona wewe ndiye dustbins kabisa, nimeandika nini na umeandika âš°Siyo kweli, Makonda aliabuse power sana, na kama wewe unamuunga mkono Makonda basi wewe ni takataka
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.
Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.
Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.
Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Kama alimlaza lock up asiseme?
Huyu Makonda ni jambazi aliyekuwa analindwa na Magufuli, kinachomtokea sasa ni stahiki yake pambafu zake, And Magu alikuwa anajiita mzalendo!!!!!! Mzalendo gani alikuwa analinda wahuni?