Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Mbona na wewe uko huku Tena kama manara na mgongolwa au wewe Ni mwekezaji wa jamii forum
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri.

Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu ya mpira wa Miguu ya Yanga SC ya Tanzania, amesema atulie tuli kama ananyolewa.

Haji kadai Wakati Makonda akiwa Serikalini, alimlaza Korokoroni

Ipo hivi;
View attachment 2148311
Leo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana jana Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu, imeiagiza Serikali kuchunguza mwenendo wa Jeshi la Polisi baada ya wananchi kupoteza imani na Jeshi hilo.

Inadaiwa Maofisa wa Polisi hawaaminiki na wanaonekana kutenda majukumu yao bila kufuata Mwongozo wao wa kisheria (PGO).

Baada ya taarifa hiyo, Paul Makonda Aliandika hivi;



Baada ya kuandika Ujumbe huo, Haji Manara alijibu hivi;


Pia soma;

1). Wananchi kukosa imani na Polisi: CCM yaagiza Jeshi la Polisi lichunguzwe

2). Makonda: Baadhi ya Askari Polisi jijini Dar wanawalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu

View attachment 2148285
Kama polisi hawaaminiki, kwanini kusifanyike mabadiliko? / Rais ana kuwa na kigugumizi gani kumuondoa IGP na watendaji wakuu wa polisi? Hivi mwizi hata aokoke doa la wizi hufutika?
Reshuffle ndio suluhiso. Siro hsta atembee na Biblia hatuna imani nae. Sembuse Pgo
 
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Siyo kila kitu mahakamani vijimambo vidogo vidogo tunazabuana hukuhuku kitaaa makonda mwenyewe enzi zake hakupeleka ntu mahakamani hivyo nawe utulie aendelee kuvuna matunda ya kazi za mikono yake tutafumuana mdogo mdogo hadi akili imkae sawa
 
Makonda mwaka wake huu[emoji1787]
 
And kuna machizi yanasema Makonda analindwa na Mama, Makonda halindwi na yeyote nyie jamaa, nendeni mkamshitaki, acheni uoga wenu wa kibwege, Mnajiita matajiri wakati ni waoga wa mwisho duniani, GSM na Makonda wote ni wapumbavu tu waliolindwa na watawala kuanzia Kikwete, Magufuli! Samia usijiingize kwenye hiyo ishu, waache wauane wenyewe
 
Acha
Kwa picha ilivyokuwa imejengwa tulitegemea tuone rundo la watu waliodhulumiwa mali zao na Makonda wakijitokeza, badala yake tumeanza kuona wanajitokeza wezi wa mali za Makonda

Acha kuchekesha walionuna makonda ana Mali gani ya kuibiwa na GSM?
 
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.

Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu.

Then huyu Manara, muajiriwa wa GSM, anakuja mbio mbio nae anamlaumu Makonda, hapa sitaki unafiki, hata kama Makonda alikuwa na madhambi yake lakini huu mchezo unaochezwa hapa ni wa kishamba.

Kama vipi waende mahakamani, kutafuta uungwaji mkono na mashabiki wao kijanja kwa issue zao private ni mchezo wa kishamba uliopitwa na wakati.
Sasa nani anaeweka issue za kishamba private!jiulize makonda kwa miaka 7 aliyotumikia serikali kwa mshahara gani aweze kumiliki mali zote alizonazo
 
Okay , halafu yakaishaje ?
Yaliisha huku 👇

images - 2022-03-12T230707.072.jpeg
 
Back
Top Bottom