Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Alikuwa ana uwezo wa kutunishiana misuli na yoyote yule aliyeomo kwenye mkoa 'wake' 😆Dah! Maisha haya! Kwenye hilo karatasi na majizzo bosi wa efm alikuwemo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ana uwezo wa kutunishiana misuli na yoyote yule aliyeomo kwenye mkoa 'wake' 😆Dah! Maisha haya! Kwenye hilo karatasi na majizzo bosi wa efm alikuwemo.
Bro dawa ni kurudisha mali ya watu simple tuuSasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.
Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja,...
Mali za watu arudishe hakuna njia ya mkatoMama amrudishe jamaa sasa, tena kwenye cheo kile kile, litakuwa pigo kubwa kwa wahuni
Halafu we jamaa unajitoaga ufahamu hadi mwisho kabisa asee. Sijui huwa unalipwa ngapiKwa picha ilivyokuwa imejengwa tulitegemea tuone rundo la watu waliodhulumiwa mali zao na Makonda wakijitokeza, badala yake tumeanza kuona wanajitokeza wezi wa mali za Makonda
Sasa naona hawa jamaa wanaitumia hii issue ya kiwanja kutafuta public sympathy of a certain kind.
Kwanza wakili Mgongolwa kujitokeza public kutoa clarification kuhusu mmiliki halali wa kiwanja, nikajiuliza wakili ofisi yake ni mahakamani, huyu Mgongolwa barabarani anatafuta nini? ni politics tu...
Kwani hao ma RCO na RPC si wanateuliwa huko huko?? Sasa uchunguzi wa nini wakati ni watu wao?Salaam Wakuu,
Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri...
Lucky Dube alishawaonya watu kama hawa
Magu hajawahi kuendekeza upuuzi na ndio maana hata sakata la makontena aliiacha TRA wafanye yao pamoja na Ex-RC kulalamika kwenye Media atashtaki kwa Mkulu!!, kulindwa kupi unakosemea??Huyu Makonda ni jambazi aliyekuwa analindwa na Magufuli, kinachomtokea sasa ni stahiki yake pambafu zake, And Magu alikuwa anajiita mzalendo!!!!!! Mzalendo gani alikuwa analinda wahuni?
Lazima aseme si alimuweka ndani polisi kwa kuwatumia polisi hao hao ambao leo anawasema.Haji wa kumsema Makonda leo?
Nimepata somo
Hao ndio alikuwa akiwa na birthday wanamuwish vibayaKaka njaa mbaya. Atafanyaje wakati ‘Bwanyenye’ wake kaguswa? Lazima aoneshe kuwa hayupo upande wa ex-RC
Sijasema hivyoKama alimlaza lock up asiseme?
Kabisawakati alikuwa chawa wake, leo kapata bosi mwingine....hizi ni kama tabia za kishoga tu au kama za wale dada zetu tu..
Le mutuz huyu huyu? DahHata Lemutuz yupo kwa Gharib sasa
Viongozi wengi hawajui kuwa Wapambe wao ni wapambe wa kile cheo sio yeye binafsi
Hahahaaa...Yaani Manara ashasahau hata zile million 3 alizopewa kama zawadi kipindi kile na Makonda, akiwa bado msemaji wa Simba baada ya mchezo na TP Mazembe kule Lubumbashi.......kweli dunia tambara bovu......Aisee hadi haji kamgeuka kisa GSM
Aisee hadi haji kamheuka kisa GSM
Inawezekana ni Bashite mwenyewe, hizi ID za humu JF ni kitendawili sana.Mzee hiki kipost unakituma kila uzi wa Bashite amekutuma nini?
Wameondolewa kwenye ubunge wao?Moja Ndugai, then wanakuja wagombea ubunge ambao walipitishwa kwa matakwa ya dikteta, then 2024 and 2025 utakuwa uchaguzi wa haki