Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Bashite hana lolote zaidi ya kuondoa haki ya kuishi kwa wanadamu wasiyo na hatia
Naona umekaririshwa maneno na wazungu wa US

Wenzako walimbrand hivyo kisa alikua anapinga ushoga na aliapa kuwasaka machoko wote,sasa watu kama wewe mnarukia tu kila atakachosema Beberu,

Ndio maana anawachagulia nani mumuite Gaidi na nani msimuite Gaidi,ni kama amejipa mamlaka ya kuwabrand watu tuhuma kwa maslaha yake
 
Makonda anajitutumua mno!
Hivi anafikiri wa Tz tumesahau matendo yake?
leo wakisema walionyanyaswa/kudhulumiwa na makonda wajitoikeze itakuwa aibu!
 
Back
Top Bottom