Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

Wakati wa magu 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency tanesco na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante,haki ya Mungu waliikataa,
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli magu alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
We ni tahira kweli, TANESCO emergency Wala hawaitaji hela wakija kusolve tatizo kwako,we sababu ni boya ulijipendekeza kuwapa au unawachafua tu, TANESCO kitengo Cha emergency wapo vizuri Sanaa,labda kwa mengine hapo sawa
 
We ni tahira kweli, TANESCO emergency Wala hawaitaji hela wakija kusolve tatizo kwako,we sababu ni boya ulijipendekeza kuwapa au unawachafua tu, TANESCO kitengo Cha emergency wapo vizuri Sanaa,labda kwa mengine hapo sawa
Mie sijatukana mtu humu
Kama umechukia mie kudai haku yangu
Kwa kuwa wewe hayajakufika
Basi pita tu hakuna haja ya kunitukana
Mie mzima na akili zangu sio taahira
Na kama wapo vizuri wangeshafika tangu nilipotoa taarifa
Masaa yamepita na kauli zao pia sio nzuri
Ila saa hii vitenhk bipo chini ga mafisadi
Magu aliweza sana walinyooka wote hawa
 
Kama Magu angekuwa anashughulikia tu mafisadi ingekuwa sawa. Ila pia wakati wa serikali au awamu yake kulikuwa na ukatili mkubwa sana na watu hasa waandishi wa habari walikimbia na uchaguzi haukuwa huru. Kwa sababu hiyo, haijalishi ni lipi zuri alifanya, Kwa WENGI ANABAKIA KUWA KIONGOZI MKATILI SANA
Alikopa trilioni 29 ndani ya awamu 1 na akawa anatuaminisha kuwa tuna uwezo wa kujitegemea, tuchape kazi.
 
Wakati wa magu 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency tanesco na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante,haki ya Mungu waliikataa,
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli magu alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Ukiona kwako kunafuka moshi, somewhere kunateketea. UKitaka kujua hili, anza kukaa karibu na wanaopitia changamoto zinazohitaji huduma za:-

1. TRA,
2. Polisi,
3. Takukuru,
4. Uhamiaji,
5. Hospitali,
6. Elimu, Au,
7. Ofisi yoyote inayotekelezwa na serikali pa se. ndipo utakapowaelewa wanaosema "Afadhali tuwe chini ya Mzungu tena".
 
Ifike mahali baba wa taifa apewe heshima yake,mnazidi sasa,,Magu magu,ndo ashakufa sasa km ,mlimpenda sana mfaten hamjakatazwa
Jamaa aliweza sana,
Kudhibiti hawa wafanyakazi wa michongo wanaojifanya miungu wAtu kwenye kutoa huduma magu alifanikiwa sanaaa yaani hata nyerere hamfikii
 
Mie sijatukana mtu humu
Kama umechukia mie kudai haku yangu
Kwa kuwa wewe hayajakufika
Basi pita tu hakuna haja ya kunitukana
Mie mzima na akili zangu sio taahira
Na kama wapo vizuri wangeshafika tangu nilipotoa taarifa
Masaa yamepita na kauli zao pia sio nzuri
Ila saa hii vitenhk bipo chini ga mafisadi
Magu aliweza sana walinyooka wote hawa
Sawa, Naomba namba yako ya simu waje watatue hiyo issue yako
 
Watakuja kukupa muongozo kuwa umelipwa na UVCCM ya sukuma gang kuja kumpigia promo aliyekwenda zake[emoji23][emoji23].

Kuna mijitu ina roho ngumu yaan magumu yote haya anayosababisha huyu bibi wa kizenji, inajifanya haitaki kukumbuka ule mseleleko wa Magu, hayo yote yanasababishwa na chuki walizopandikizwa na viongoz wao wa hovyo hovyo.

Bitter truth, yajayo yanafurahisha, huyu bibi kaboronga na anazidi kuboronga
mwaka jana tulipata tatizo la luku ilipiga short, tukapiga simu tanesco na ndani lisaa wakafika wakaungani wavojua wenyewe tukatumia zaidi ya wiki moja bure mpaka walipo leta luku mpya,

juzi shinda jana jirani yetu mti umeangukia waya za umeme hadi leo hawajaja pamoja na kupigiwa simu kadhaa

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
 
Alipokufa mlifurahi. Wakuda na vigeugeu lolote liwakute
Tena napendelea mabaya zaidi yatokee ili wa Tanzanian mjue kutambua na kuheshimu mtu aliyejitoa kwa ajili yenu rkn hao hao watanzania wakafulahia na wengine kuchinja mbuzi kwa kufurahia kifo cha mtetezi wao.
Inauma sana rkn nyie mliokuwa mnashangilia kifo cha mzee wetu endeleeni kushangilia tu hakuna kumkumbuka wala nini...
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Mimi tatizo LA maji mwezi wa tatu huu. Nataka kwenda kwa waziri mwenyewe sasa
 
Back
Top Bottom