Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Wakati unapakwa mafuta, si jamaa walikuwa wanaingiza mikono hadi kwenye 0713 Ili ilainike Ili iwe rahisi kupakulika achaana na wake za watu boya ww
 
Kwamba wamba wajiloweke kwenye makimba ukakimbia na utelezi wao
 


Usirudie tena hutachomoka
 
Wamefanya makosa ya kiufundi sana hawa jamaa. Ilitakiwa kwanza wakuhasi kwa kukubinya pumb* afu badae ndio wakupake mafuta kukupelekea moto.
 
Itakuwa walikupaka hayo mafuta usoni ndo maana ulichoropoka.
 
Hahahaha duh kwahyo walishakupaka na mafuta pakawa laini hahahaha sipati picha aiseee
 
Wengi huwa hamkubali kama mlipigwa mambo, eti ushapakwa mafuta alafu uchomoke na boksa?? Wakati kadiri unavyoresist ndo inavyoingia mdo mdo ...ndo ukome
 
Haiingii akilini, mtu tano unakimbiaje afu mafuta ulipakwa kabla ya kuvuliwa boksa au baada?
Sema mke wa mtu sumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…