BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.
Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
LolPengine waliona tukalio twako tudogo kama skonzi na tuna ukurutu wakaamua wakuachie ila wewe unajiona warrior
Nimependa upoozaji wako wa chai.Utadhani unapeta pumba za mpunga kwenye mashine ya Mpumunti.Upakwe mafuta alafu uchoropoke! View attachment 2478943
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaahInaumiza sana kuona vijana wanajirahisisha kwa visingizio ili mabazazi wawatambue.
Mungu awasaidie sana watoto wangu na uzao wao
Vp baba mwenye nyumba wamekufira. View attachment 2479257
Mabaharia tunajua, ukishampaka mtu mfuta kitu kinazama chenyewe, ni full utelezi.tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo.