Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete


Jifunze tofauti iliyopo kati ya kusimamia uchaguzi na kuangalia uchaguzi!
 
Hilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.

Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
Jizi lilishakufa siku nyingi linaozeana tu huko Chato wakati JK tabasam lake km kijana.
Chuki zinakuzeesha kabla ya wakati, yaani ukisimama wewe na JK unaonekama wewe ndo mzee.
Hata yule sherani wenu alikufa kwa chuki zake pia zilichangia
 
Kaumalizi mwendo!
We ndo chizi kweli kweli.
JK sio level za kina Magufuli.
 
Wakati wewe unamchukia wenzako huko duniani wanaijua thamani yake na chuki zako hazimpunguzii chochote bali wajizeesha tu
 
Wewe wasema, lkn mwenyewe anazidi kupeta .
Wasiokuwa comfortable wanazeeka mapema na wengine wamekufa vibaya vibaya tu
 
Sema tu kwako wewe marais ni Wakatoliki.
Ndo mana Mungu kawaua wote mapema kabisa.
 
Udini tu ndo unaokutesa na mana masheitani wako wamekufa mapema tena vifo vya kimasikini kabisa badala ya kufa kishujaa
 
Sema tu kwako wewe marais ni Wakatoliki.
Ndo mana Mungu kawaua wote mapema kabisa.
Na hawa Waislamu wako wote waliobakia ndiyo hamna Kitu na wameiharibu na wanaendelea Kuiharibu Tanzania.
 

Umesema kweli kabisa, mtu yuko hapa nyumbani chaguzi chafu zinafanyika yeye akiwa madarakani, na akiwa ametoka kisha anachaguliwa kwenda kusimamia uchaguzi wa nchi nyingine?!

Pamoja na demokrasia kubwa waliyonayo Kenya, nimewadharau kwa wao kukubali mtu kama JK kwenda kusimamia uchaguzi wao. Hiyo inaonesha kuwa Afrika tuna uhaba wa watu waadilifu hadi akina JK ndio wanaonekana wanafaa kusimamia uchaguzi.
 
Naamin, hon JK Kikwete utawala wake uilkuwa wenye matumain kwa Watanzania wengi! Mungu azid kuumbariki
 
Kusimamia!!???
Yeye sio muangalizi!!???
 
Una maswali magumu siwezi kuyajibu, lakini Mimi naamini hadi kufa Kwangu Mungu yupo.
Kufa kwako kunaonesha Mungu hayupo, Mungu angekuwepo, usingekufa ukatenganishwa na watu wanaokupenda na unaowapenda.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atenganishe watu wanaopendana kwa kifo?
 
Unataka uone Future gani Kwa Mtu aliyekuwa Rais wa Nchi. Ww ndio unatakiwa kupambania Future yako.
 
Acha upumbavu sio kusimamia, ni muangalizi tu tena wasio na meno, eti "ona uchaguzi unavyoenda vizuri",chawa kazini.
 
JK ni miongoni mwa wasanii bora kuwahi kutokea Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…