Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Kama umeamua Mungu akulipie basi wewe unatakiwa ukubali likupiteHuu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
USITUJUMUISHE WANAUME WOTE SASA, WENGINE HATUPO HIVYO.... BE SPECIFIC, PAMBANA NA HUYO WAKO ALIYECHANA MKEKA
BTW POLE
NB: Hivi umesahau kale kamsemo kanachosema pata pesa tujue tabia zako
Mtahishia kujiingizia ma chupa ya soda tuu kwa akili hzStaki maskini kabisa heri huyo mwenye hela zake maana namjua tabia yake kuliko maskini anayejinyemyekeza kiunafiki, ujitoe Hadi tone la mwisho la damu, then mambo yakiwa mazuri aanze kukupiga matukio hapo lazima ufe na pressure ukitegemea ulijitoa kwa moyo lazima uugue maradhi.
Mimi staki huo ujinga wa mwanaume asiye na mbele wala nyuma kabisa
mroge tu dada Mungu atakuelewa.Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili li
Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia [emoji22], sitokubali hili lipite.
cooldown mbn mchoyo utaki wenzio neema iwatokeeKwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Wanaume matajiri walizaliwa na pesa walizonazo au walitafta?Pole sana, wanaume maskini wakukimbia la ukoma, akipata hela ndio nguvu za kiume zinaomgezeka mara dufu na anaanza dharau. Pole sana
Pole sana.....mara nyingi tamaa mbaya zinapotushinda tunasahau haraka.....Kwa ufupi mkishika hela za ghafla mnatuona hatuna maana tena ilihali wakati wa shida tulikuwa pamoja.
Hakuna kitu kinauma kwetu wanawake kama kuona mwanamme ulimpigania, akafanikiwa halafu baada ya kufanikiwa tu mapenzi na pesa anafaidi mwanamke mwingine.
Huu mwaka nimeumaliza vibaya sana, ila Mungu atanilipia 😢, sitokubali hili lipite.
Itategemea...kama mtu hujavutika nae unamkubalia vipi? Kosa la huyo wako ni kwa sababu alikurudia baada ya majanga kumkuta ilihali mwanzoni alikukataa ila kiukweli kuwa na mtu ambae hujavutika nae ni suala zito.Nyie wanawake sometimes huwa mnazingua.
anakuja mtu ana mapenzi ya dhati na wewe. but unamkataa kata kata na kejeli kibao.
ajabu anakuja msanii wa mapenzi chap una mkubali na una mpa kila kitu, mwisho wa siku anakuja kukuachia makovu mnabaki kulia lia.
iliwahi nitokea, nilimpenda sana nikamuonesha hisia zangu kwake. akanikataa.
akawa na kijana mzugaji (msanii wa mapenzi).
ajabu kapata mimba kijana wake kamtelekeza ndipo akarudi kwangu baada ya miaka 2.
Mkataa pema, pabaya pana muhita.Itategemea...kama mtu hujavutika nae unamkubalia vipi? Kosa la huyo wako ni kwa sababu alikurudia baada ya majanga kumkuta ilihali mwanzoni alikukataa ila kiukweli kuwa na mtu ambae hujavutika nae ni swala zito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karudi baada ya majanga kumkuta...achana nae mana tayar alishakuonesha kwamba hakuhitaji. Point yangu kuu ilikua kuwa serious na mtu ndo sio kigezo eti nae atakupendaMkataa pema, pabaya pana muhita.
Mwanaume unaonesha. upo seriously na mwanamke then ki rahisi rahisi anasema hivyo. likitokea la kutokea ndipo anarudi hapo tusemeje?
Huwa mnatumia kigezo gani kuw na mtu?Karudi baada ya majanga kumkuta...achana nae mana tayar alishakuonesha kwamba hakuhitaji. Point yangu kuu ilikua kuwa serious na mtu ndo sio kigezo eti nae atakupenda