MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Yaani bro na huo umri wako bado haujawajua vizuri wanaume wafupi walivyo na tumisimamo mshenziUNAAMBIWA Lionel MESSI hajawahi kumgusa mwanamke mwingine zaidi ya mkewe Antonela Roccuzzo aliyeanza naye mahusiano tangu utotoni huko Rosario, Argentina.
Mnamo 2017, Messi na Antonella walifunga ndoa iliyotajwa kama ‘ndoa ya karne’ na kujaaliwa watoto watatu Thiago, Mateo na Ciro.
Raccuzzo ambaye kwa sasa ni Mwanamitindo ana taaluma Udaktari wa meno na mawasiliano ya kijamii aliyosomea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Rosario kabla ya kujitolea kumsaidia Messi na kuzingatia familia yao.
Kupitia taaluma yake ya Uanamitindo amefanya kazi na chapa maarufu kama Stella McCartney, Adidas, na hivi majuzi, Alo.
Messi anampenda sana mwanamke huyo mrembo amejitolea sana kwake kiasi kwamba hata hawagusi wanawake wengine. Inaelezwa Messi alitaka kuwa mchezaji bora wa soka duniani ili aweze kumhudumia Roccuzzo na kumpa maisha mazuri.
Walipofunga ndoa, mashabiki wengi wa kike walijaribu kujaribu kumshawishi. Shabiki mmoja Suzy Cortez (almaarufu Miss BumBum) alijichora tatoo ya Messi mwilini mwake na kujaribu kumtumia picha zake akiwa katika jezi yake lakini Messi alim-block mara moja.
Messi amekuwa katika muonekano usio wa kawaida anapokuwa karibu na Wanawake wengine katika picha akiibana mikono yake au hata kuiweka mifukoni kuliko kugusana au hata kuweka begani kwa mwanamke mwingine.
Messi hufanya hivyo kuepuka vyombo vya habari kupindisha picha hizo kwa njia isiyo sahihi na kufanya ionekane kuwa kuna kitu kinaendelea wakati hakipo.
Mwanamuziki Shakira alipiga naye picha lakini alijiweka mbali na kuweka wazi kuwa mambo ni ya kiplato kabisa. Hamwekei mikono mwanamke mwingine kwa sababu kwake, ukaribu wa kimwili unabaki kwa mke wake tu.
Messi ni mmoja wa wanaume wachache ambao huweka mipaka kwa wanawake ambao sio mke wake. Anataka kuishi maisha ya faragha na Roccuzzo na watoto wao, na anaweka wazi mara kwa mara kwamba ana upendo wake ni kwa mpenzi wake huyo wa tangu ujanani.
NB: Uhusiano wa kiplato (platonic relationship) ni ule ambao watu wawili wana uhusiano wa karibu lakini hawana uhusiano wa kimapenzi. (Dhana hii inatokana na mawazo ya mwanafalsafa wa kale Plato). Kwenye hili wanaume wengi tutafeli.
Wanawake yapi maoni yenu kwa aina hii ya wanaume wenye tabia ya kufanana na Messi?
View attachment 2740981View attachment 2740982
Hongera sana tunawaombea...hakika ni wachache mno tutakuwa hatujachoka
Kwahiyo akifanikiwa yeye ni sawa ila sisi wengine ni wavulana tuliovurugwa na mapenzi ya chuo?Nna wasiwasi kama we ni he,na kama ni he basi ni mvulana mdogo mwanafunzi uliyevurugwa na penzi la chuo,so akili yako inakutuma uko hivyo.Kuhusu Messi sidhani kama hyo story ya kusadikika uliyoileta kama ni kweli,ila mtu maarufu yoyote wa ulaya na mwenye pesa anawindwa kuanzia na washindani wake,maadui zake na hata malaya wanaotaka kuvuna kwa kutengeneza kesi za uongo za kubakwa au kujizalisha watoto.Jamaa kama mwanaume lazima anapenda papuchi ila amefanikiwa kumantain low profile.
AmenHongera sana tunawaombea...
😂 shida n ufupi?Yaani bro na huo umri wako bado haujawajua vizuri wanaume wafupi walivyo na tumisimamo mshenzi
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana nawe kwa asilimia kubwa huku kwetu mtu akiwa hayupo vizuri kiuchumi anatulia ila akizipata na tabia inabadilika sana japo wapo wenye nazo na n waaminifu.Most African men are womanizers.They're not loyal at all.
Ukiona mwanaume wa kiAfrica asiyechepuka jua huyo Ni Hana pesa umaskini unawaponza wanaume wengi Sana huku Africa ila wakizipata wanafunguliaa mbwa sio poa kbsa.
Pesa inamsaidia ila ndio hivyo kashamchagua antonelaKuepuka maelezo mengi, Kwa ufupi sana mesi domozege
utulivu ni kama hulka tu, inategemea mtu na mtu,Nakubaliana nawe kwa asilimia kubwa huku kwetu mtu akiwa hayupo vizuri kiuchumi anatulia sana japo wapo wenye nazo na n waaminifu.
Yes upo sahihi mkuuutulivu ni kama hulka tu, inategemea mtu na mtu,
Jirani nani huyo anakupa tuhuma hebu gonga geti tudiscuss.Ebu ngoja kwanza jirani, kuna kijana amrnipa tuhuma nzito hapa jukwaani nataka tuwekane sawa
Ebu nifungulie nipo hapa nje jiraniJirani nani huyo anakupa tuhuma hebu gonga geti tudiscuss.
Jirani nani huyo anakupa tuhuma hebu gonga geti tudiscuss.
Mkuu kila la heri, watu wengi tunapenda kujifunza kwa majuto na hii ni mbaya sana wakati kujizuia inawezekana.Tangu niponee chupu chupu miaka 3 ilopita sitaki kabisa kucheza tena na life! Kuwa na afya njema ni kitu kikubwa sana tulichopewa na Mwenyezi Mungu kwa wale waamini.
Kuwa Player sio kitu cha kujivunia kabisa. Tangu nigundue maisha yanahitaji utulivu acha nitulie tu hapa nilipo. Nikiona mizigo au shape naziangalia tu kwa mbali na kuomba nizidi kuepushwa na kikombe hicho.
chakata mbususu kama cr7, leo domo zege hata huyo mke wake alimpata kwa bahati tu, historia unaijua?
Mkuu sitakiwi kuambiwa, leo alimpata mke wake kwa bahati tu, leo domo zege, hutaki kajinyonge, chakata mbususu za warembo kama cr7, leo domo zege huo ndo ukweli, mengine mbwembwe tu.Unaambiwa wameanza tokea zamani unaleta habari za domo zege.
Ok, na kuhusu kuwa makini kwenye picha na kushikana au ukaribu na walimbwende wengine nao ni domo zege?
Ita ukakavyoita lakini jamaa amechagua kujitenga na umalaya, kitu ambacho Kwa wanaume wengi ni mtihani bila kujali kipato ulichonacho.
Mkuu sitakiwi kuambiwa, leo alimpata mke wake kwa bahati tu, leo domo zege, hutaki kajinyonge, chakata mbususu za warembo kama cr7, leo domo zege huo ndo ukweli, mengine mbwembwe tu.