raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Naona kunakuwa hakuna cha kupoteza mke mwenyewe anakuwa wivu tena hana maana kama watt tayari anakuwa nao anaombea ujikoroge tu mambo yaende pasu kwa pasu πAlaf sijui kwanini nimeambiwa kuwa wanaume wakifika miaka 40-50 huwa tunawehuka. Yaani ndo kipindi kigumu sana cha ndoa. Usaliti njenje.
Ni nzuri inaponya mafua na korona π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chai ya limao
kuna watu ukiwa nao kimahusiano lazima uyumbe, hii ndoa yao naikubali sanaHongera zake sana Messi.....Kupiga Piga nje hovyo unaweza ukakutana na nuksi mirija ya maokoto ikayumba.
Hilo atatujibia ila alikuwa na ex, aliwahi tengana na messi.Uyo demu hapigwi mashine na wanaume wengine?
Na mimi nimoπMimi na Messi hatutofautiani kabisa...π
Kivipi mkuumwana ni dhaifu tu
Ipo hivi, kama hakuna waaminifu kuwa wewe muaminifu.We uliwezaje kuishi kama messi π€π€mbn naona bongonyoso kama umetupiga kamba hv
Yesu....πNa mimi nimoπ
Alimuacha messi baadae wakarudiana
NdioYesu....π
Hadi wewe...π³
Nahama hiki chama kama ad wewe humo, πtupo wachache sana bro
Kwanini, kuna siri gani huko latin America ya kuwa na mwanamke mmoja?Let me eat women, let me drink women.
Ningekua nimezaliwa huko latin Amerika, mbona ingekua rahisi sana, hata mimi ningeweza kuwa na Mwanamke mmoja.
Ikawaje?Bila shaka mke wa tiger woods aliwahi kuamini yeye ndiye pekee
we tulia nipo kwenye harakati za kutafuta pisi,Nahama hiki chama kama ad wewe humo, π