Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
habari yako joanahKupanga ni kuchagua,wanaume mnaweza kuwa loyal mkiamua...
Suarez pia nilisikia mke wake wameanza mahusiano tangu enzi na enzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari yako joanahKupanga ni kuchagua,wanaume mnaweza kuwa loyal mkiamua...
Suarez pia nilisikia mke wake wameanza mahusiano tangu enzi na enzi
Akaja kugundua bwana tiger ana kidosho hasira si ndio akaomba taraka na mali wakaigawana tiger woods akaondoka kuwa mwanamichezo tajiri na kupoteza mikataba kibaoIkawaje?
Huu uzi wote tutakuwa wachacheHakika tuko wachache
Ni kweli kabisa ila sio kwa wanawake wote. Wengine wanakuletea balaa tu.Hiyo ndio siri ya mafanikio yake,ameshajielewa bila ya hivyo kila kitu kingeyayuka,watu wengi huwa hawajui kuwa baraka mnapokuwa kwenye ndoa zinaweza kuja kupitia mmoja wenu,hivyo kwenda kinyumme cha hapo kila kitu kitapotea...
watu wakimya, wasiri ni wa kuishi nao kwa akili na umakini mkubwa, huwa wana mambo yao ya chini chini sanaAkaja kugundua bwana tiger ana kidosho hasira si ndio akaomba taraka na mali wakaigawana tiger woods akaondoka kuwa mwanamichezo tajiri na kupoteza mikataba kibao
Kabisa 😁Siamini...wanaume wote sisi ni mbwa
hapana mpe cheo hicho komredi kapteni Mwachiluwiwe tulia nipo kwenye harakati za kutafuta pisi,
unataka kua best man?
Uwezi zishinda tamaa zako?Mimi siwezi aloo upwiru nje nje
Kweli mkuu ukimya ni kitu kizuri lakini pia ni kificho cha maovu.Messi ni Jasusi Mtupu hapo usikute anakula mali kwa Usiri mkubwa sana, Ogopa sana Watu wakimya mimi mtaani kwetu ni kijana mwenye tabia za Mfano wa Kuigwa,
Ila endapo Wakifunuliwa wayajue mambo yangu aisee Mtaa mzima utataharuki na kwanza hawatoamini.
Na ile kitu ilivo tamu aisee siwezi niki ikosa wiki naumwaUwezi zishinda tamaa zako?
Huku tunaishi kwa kuviziana na kukomoana, talaka ilishaandaliwa inasubiri muda na sababu tu.Masupastaa wengi ambao wame wamewaoa mabinti ambao walikuwa marafiki wao wa utotoni karibia wote ndoa zao zipo imara.
Hapo linapokuja swala la body counts na bikra, sisi huku tunaokotana mtu amekuwa connected na roho kibao, kutoboa maisha ya ndoa ni kazi. Huyo Ronaldo na ndio wale waliokutana ukubwai anaishi kimitego na mke wake na ndio maana ,hajafunga nae ndoa.
Wiki tu unaumwa 😂Na ile kitu ilivo tamu aisee siwezi niki ikosa wiki naumwa
Nakubaliana nawe 100% kwa sababu mimi n mkimya pia, kijana wa mfano ila kuna tabia ninazo ni hatarishi.Messi ni Jasusi Mtupu hapo usikute anakula mali kwa Usiri mkubwa sana, Ogopa sana Watu wakimya mimi mtaani kwetu ni kijana mwenye tabia za Mfano wa Kuigwa,
Ila endapo Wakifunuliwa wayajue mambo yangu aisee Mtaa mzima utataharuki na kwanza hawatoamini.
Kabisa kaka nikikaa mwezi nakosa Amani upwiru unakaba kooWiki tu unaumwa 😂
Mwezi si watu wataomboleza. Ila ile kitu ni tamu sana
😂😂😂 dah sitaki nimekataahapana mpe cheo hicho komredi kapteni Mwachiluwi
Pesa ni ya kulainishia maishaUjinga tu sasa pesa ya nini kama hatembezi mkuyenge
exactly...Nimeelewa hiyo picha inamaanisha Messi ndo submissive alaf Rocuzzo ndo dominant.
Anapelekeshwa ..sigma male. Positions hizi Zina maana.