Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #101
😂 kakuchukulia pisi yako nini mbona unamshambulia sana?Kusifia mwache asifie kula wanakula wenye pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 kakuchukulia pisi yako nini mbona unamshambulia sana?Kusifia mwache asifie kula wanakula wenye pesa
Sahihi kabisa Mkuu.Tupo wengi mkuu tuishi humo humo
Huo ni ukweli kabisaNeno "tumebaki wachache" sijalipenda .
" Wanaume sisi ni waaminifu . "
Mwanaume akiwa hajatulia ujue lazima kuna tukio la kutisha alichezewa likamfanya apoteze Uaminifu .
Kabasa mkuuKweli mkuu ukimya ni kitu kizuri lakini pia ni kificho cha maovu.
Nataka aachwe 😂😂 kakuchukulia pisi yako nini mbona unamshambulia sana?
Hii imeendaAnajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza
😂ili muwe wawili mlioachwa?Nataka aachwe 😂
Saiv ntaanza kujizuia tamaa aisee maana Tamaa zinazidiUnamkataa mwanao kizembe sana
Jizuie kabla magonjwa hayajakuzuiaSaiv ntaanza kujizuia tamaa aisee maana Tamaa zinazidi
Hakika na iwe hivyo mkuuSahihi kabisa Mkuu.
Avoid Girls, Save Money, Dream V8
Ngoja nianze aiseeJizuie kabla magonjwa hayajakuzuia
Kila la heri mkuuN
Ngoja nianze aisee
Siungi mkono hoja yakoNyie mnaojisifu Ndio hatariii
Iweje? PendekezaRekebisha tiltle kwanza 😀😀😀
Andika wanaume kama Messi hakuna 😂😂Iweje? Pendekeza
Wanawake kama antonella roccuzo hakuna.Andika wanaume kama Messi hakuna 😂😂
Nimekataa😀😀Wanawake kama antonella roccuzo hakuna.
Mimi ni mfanano wa messi kabisa tumebak wachache sana
Ukubali/ukatae ukweli ndio huo alafu nafasi ni chacheðŸ¤Nimekataa😀😀