Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #81
Mimi upwiru haunisumbuagi kabisa.Kabisa kaka nikikaa mwezi nakosa Amani upwiru unakaba koo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi upwiru haunisumbuagi kabisa.Kabisa kaka nikikaa mwezi nakosa Amani upwiru unakaba koo
Unamkataa mwanao kizembe sana😂😂😂 dah sitaki nimekataa
Anaogopa pasu pasu, Ronaldo mtoto wake wa kwanza mwanamke aliyezaa nae mpaka sasa hafahamiki.Huku tunaishi kwa kuviziana na kukomoana, talaka ilishaandaliwa inasubiri muda na sababu tu.
Cr7 sijui kama atafunga ndoa nadhani hawa watu maarufu watakuwa wana wataalamu wa kuwashauri kwenye sekta hiyo.
Na akimpata uyo mchuchu nampa hela 😂Unamkataa mwanao kizembe sana
Ni kuishi nao kwa akili tu hakuna namna wengi wapo kimaslahi.Anaogopa pasu pasu, Ronaldo mtoto wake wa kwanza mwanamke aliyezaa nae mpaka sasa hafahamiki.
Alimtafuta demu wakakubaliana amlipe baada ya kumzalia,demu baada ya kuzaa kapewa mzigo wake then akamwambia tusitafutane wala kujitangaza kwenye media yoyote.
Mwangalie LeBron James ,Snoop Dogg wote wameoa marafiki zao wa udogoni huko,mpaka sasa ndoa zao zipo imara.
Tena ulaya wanawake washenzi, unaweza kuoa baada ya miaka kazaa wanadai talaka, anajua mgawanyo wa mali unamuhusu. Ndio maana 50 Cent, Mayweather,De Caprio nk hawana time ya kuoa.
Ukiwa na hela unawindwa na Magold digger,ndio maana wenye hela wengi sometimes hawana time na ndoa wanazalisha basi .
Kwamba uwezo huo hana?Na akimpata uyo mchuchu nampa hela 😂
Kabisa bado ana swaga za kizamanKwamba uwezo huo hana?
Za kunywa mayi na kumuona kwenye glasi?Kabisa bado ana swaga za kizaman
Kabisa mkuuuZa kunywa mayi na kumuona kwenye glasi?
mshamba_hachekwi mwanao anakusagia kunguni hukuKabisa mkuuu
HakikaKupanga ni kuchagua,
juzi hapa kalia ameachwa akaanza kuomba mods wafute uzimshamba_hachekwi mwanao anakusagia kunguni huku
Mwambie kwaza aache kunyonya 😂mshamba_hachekwi mwanao anakusagia kunguni huku
Lete ushahid wewe dogo mm nimeachwa? Haijawai tokea 😂juzi hapa kalia ameachwa akaanza kuomba mods wafute uzi
😂😂 na kijibegi chakejuzi hapa kalia ameachwa akaanza kuomba mods wafute uzi
Jana niliona mahali anasifia manyony*😂Mwambie kwaza aache kunyonya 😂
Tupo wengi mkuu tuishi humo humoNi kama mimi tu
Kusifia mwache asifie kula wanakula wenye pesaJana niliona mahali anasifia manyony*😂